Je, Sabaya naye kurejeshwa?

Je, Sabaya naye kurejeshwa?

Baada ya kumrejesha Makonda , Dr Hangaya akitetea uamuzi wake huo alisema kwamba , Makonda hakuwahi kuikosea ccm , " mligombana wenyewe kwa wenyewe huko "

Sasa kwa vile Sabaya naye hakuwahi kugombana na ccm , bali aligombana na aliowateka kwa mtutu wa bunduki , huku akiweka namba za kizushi za UN kwenye magari aliyoyatumia kwenye uharamia huo , na labda aliweka Chumvi kwenye injini za magari ya Mbowe ili kuyaharibu , Je sasa naye atalamba shavu ?

View attachment 2796909
Kwa kuwa serikali hii sasa imegeuka kuwa ya kijambazi, hukawii kusikia jambazi Sabaya naye karejeshwa ili aendelee na utekaji kama kawaida yake. Akishaingia tu kwenye system, watu wasiokuwa na idadi wataanza kupotezwa. Nchi ya kiqumer sana hii. Inasikitisha sana.
 
Badala kupanga safu zenu za vikoba kutwa kuangazia kwenye majiko ya watu kunapikwa nini..wenzenu Act wazalendo wameshinda mtambwe kwa tume hii hii ya uchaguzi chadema wamekalia majungu tu!
Ccm huwa haishindi Pemba. Na mkiheshimu uchaguzi ccm itakaa pembeni mapema sana. Huko mtambwe ccm wamekubali kwa aibu ili kuhadaa umma, na kwakuwa wanajua sio kiti chenye madhara kwao huko bungeni.
 
Baada ya kumrejesha Makonda , Dr Hangaya akitetea uamuzi wake huo alisema kwamba , Makonda hakuwahi kuikosea ccm , " mligombana wenyewe kwa wenyewe huko "

Sasa kwa vile Sabaya naye hakuwahi kugombana na ccm , bali aligombana na aliowateka kwa mtutu wa bunduki , huku akiweka namba za kizushi za UN kwenye magari aliyoyatumia kwenye uharamia huo , na labda aliweka Chumvi kwenye injini za magari ya Mbowe ili kuyaharibu , Je sasa naye atalamba shavu ?

View attachment 2796909


Wakawatoe ba wafungwa gerezan wawape vyeo ccm
 
Makonda karudishwa kwa sababu za kiukanda mama anataka kuwa na stronghold kanda ya ziwa ndiyo maana mama kaamua atembee na nyota ya Biteko na Makonda wana kanda ya ziwa

Huko ndani ya CCM kuna mpasuko mkubwa sana, team Msoga hawajawahi kumkubali huyu dogo kwa mambo aliyowafanyia enzi za jiwe

Acha tuone litaishaje hili
 
Baada ya kumrejesha Makonda , Dr Hangaya akitetea uamuzi wake huo alisema kwamba , Makonda hakuwahi kuikosea ccm , " mligombana wenyewe kwa wenyewe huko "

Sasa kwa vile Sabaya naye hakuwahi kugombana na ccm , bali aligombana na aliowateka kwa mtutu wa bunduki , huku akiweka namba za kizushi za UN kwenye magari aliyoyatumia kwenye uharamia huo , na labda aliweka Chumvi kwenye injini za magari ya Mbowe ili kuyaharibu , Je sasa naye atalamba shavu ?

View attachment 2796909
Sabaya ni mtu sahihi sana kurudi kwenye uongozi wa siasa maana Mahakama ilishamsafisha tuhuma alizokuwa nazo
 
Ccm huwa haishindi Pemba. Na mkiheshimu uchaguzi ccm itakaa pembeni mapema sana. Huko mtambwe ccm wamekubali kwa aibu ili kuhadaa umma, na kwakuwa wanajua sio kiti chenye madhara kwao huko bungeni.
Wenzenu wanaingiza timu nyinyi mna tantarira kibao!
 
hao waloshinda ni ndugu zao
Nyie ni ndugu zenu wa damu kwa historia zitto kabwe chadema na 2020 mlifanya ushirikiano mkampigia debe al maruhumu maalim seif nae akamnadi Lissu na kama maridhiano Mbowe ana buyu la asali chumbani anaramba kidogo kidogo!
 
Baada ya kumrejesha Makonda , Dr Hangaya akitetea uamuzi wake huo alisema kwamba , Makonda hakuwahi kuikosea ccm , " mligombana wenyewe kwa wenyewe huko "

Sasa kwa vile Sabaya naye hakuwahi kugombana na ccm , bali aligombana na aliowateka kwa mtutu wa bunduki , huku akiweka namba za kizushi za UN kwenye magari aliyoyatumia kwenye uharamia huo , na labda aliweka Chumvi kwenye injini za magari ya Mbowe ili kuyaharibu , Je sasa naye atalamba shavu ?

View attachment 2796909
Mahakama imethibitisha mashitaka dhidi ya sabaya ni uzushi,chuki na uhuni wa watu wachache waliopangwa ,Sabaya anapaswa kuombwa radhi na kurudi kwenye mfumoni kiongozi mzuri ,jasiri ndio maana uzushi kwake ulikuwa mkubwa.
 
Tz nchi moja ya ajabu sana

Mtu anatuhumiwa kwa uhalifu

Lakini badaye anarudishwa kwenye

Uongozi

Ova
Tz sio nchi ya kweli bali ni nchi ya kufikirika. Sikuwahi kufikiri kuwa huyu mhalifu angerudi kwenye uongozi. Pamoja na utapeli wote aliowatapeli pesa wahindi wa Dar, bado Hangaya kamrudisha madarakani ili aendeleze wizi kama kawaida. Bado jambazi Sabaya naye arejeshwe ili kolamu ya wezi itimie. Hii ni nchi ya ovyo sana.
 
Kwa kuwa serikali hii sasa imegeuka kuwa ya kijambazi, hukawii kusikia jambazi Sabaya naye karejeshwa ili aendelee na utekaji kama kawaida yake. Akishaingia tu kwenye system, watu wasiokuwa na idadi wataanza kupotezwa. Nchi ya kiqumer sana hii. Inasikitisha sana.
Mkuu kwaio hujakubaliana na mahakama.? Imekuachia huru baada ya kugundua zile tuhuma ni za kubumba tu
 
Tz sio nchi ya kweli bali ni nchi ya kufikirika. Sikuwahi kufikiri kuwa huyu mhalifu angerudi kwenye uongozi. Pamoja na utapeli wote aliowatapeli pesa wahindi wa Dar, bado Hangaya kamrudisha madarakani ili aendeleze wizi kama kawaida. Bado jambazi Sabaya naye arejeshwe ili kolamu ya wezi itimie. Hii ni nchi ya ovyo sana.
Alafu General sabaya alisimamishwa tu Ili kupisha uchunguzi wa tuhuma dhidi yake na alipaswa kurejea ofisini mara moja baada ya mahakama kumuachia huru
 
Baada ya kumrejesha Makonda , Dr Hangaya akitetea uamuzi wake huo alisema kwamba , Makonda hakuwahi kuikosea ccm , " mligombana wenyewe kwa wenyewe huko "

Sasa kwa vile Sabaya naye hakuwahi kugombana na ccm , bali aligombana na aliowateka kwa mtutu wa bunduki , huku akiweka namba za kizushi za UN kwenye magari aliyoyatumia kwenye uharamia huo , na labda aliweka Chumvi kwenye injini za magari ya Mbowe ili kuyaharibu , Je sasa naye atalamba shavu ?

View attachment 2796909
Mimi naona arudi apewe mkoa wa Dar
 
Wenzenu wanaingiza timu nyinyi mna tantarira kibao!
Waingize team au waache huo ni kimpango wao, ila sisi wengine tunajua kuwa Tanzania hakuna uchaguzi, bali Kuna maonyesho ya ujinga wa mtu Mweusi kwenye box la kura fullstop.
 
Waingize team au waache huo ni kimpango wao, ila sisi wengine tunajua kuwa Tanzania hakuna uchaguzi, bali Kuna maonyesho ya ujinga wa mtu Mweusi kwenye box la kura fullstop.
Mbowe keshasema 2024 serikali za mitaa yupo chadema watashiriki!
 
Mbowe keshasema 2024 serikali za mitaa yupo chadema watashiriki!
Acha tu cdm kushiriki, hata wakitaka waende wakakae kwenye vituko vya kura hata kuanzia leo hakuna mwenye tatizo. Lakini hakuna tena mtu anayejitambua ataendelea kwenda kusimama kwenye mstari wa kura kupoteza muda, eti anachagua kiongozi kwa mazingira haya haya ya uchaguzi. Tegemea chaguzi zitakazokuwa na wapiga kura wachache kupita maelezo. Katiba mpya/tume huru ya uchaguzi, machafuko ama mapinduzi ya kijeshi ndio yatarejesha heshima ya box la kura tena.
 
Tunakushukuru sana kada wa CCM uliye kikazi CHADEMA ndugu Erythrocyte kwa kufuatilia mambo ya chama unachokipenda zaidi yaani CCM. Kuhusu Sabaya sina jibu lolote ila tusubiri maamuzi ya viongozi kupitia vikao rasmi vya chama.
 
Ccm huwa haishindi Pemba. Na mkiheshimu uchaguzi ccm itakaa pembeni mapema sana. Huko mtambwe ccm wamekubali kwa aibu ili kuhadaa umma, na kwakuwa wanajua sio kiti chenye madhara kwao huko bungeni.
Hakika
 
Back
Top Bottom