Je Salah Akishinda Afcon na Misri atabeba Ballon D'or?

Je Salah Akishinda Afcon na Misri atabeba Ballon D'or?

Greatest Of All Time

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2017
Posts
23,620
Reaction score
52,790
Mo Salah ameshabeba Uefa Champions League akiwa na Liverpool msimu huu.

Pia anashariki Afcon akiwa na Taifa lake la Misri. Je ikitokea ameshinda Afcon 2019 akiwa na Taifa lake nafasi yake ya kutwaa Ballon D'or ipoje? Maana atakuwa amepata mafanikio makubwa kwa level ya klabu na timu ya taifa.

Karibuni kwa mjadala...
 
Mafanikio ya timu na sio yake.. hawezi beba hata tuzo ya mchezaji bora wa afcon..
 
Tatizo wamisri wanamuabudu mno......yaani akifunga mchezaji mwingine hawahesabu kama ni goli mpaka akifunga yeye hata kama goli la hovyo uwanja unapasuka
 
sina maneno mengi... je unamjua huyu mnyama.??
IMG_20181125_035708_643.jpeg
 
Kimataifa, euro national league,klabu serie A ,coppa italia,champions league kila mtu shughuli yake aliiona,kati ya wachezaji bora wa champions league 3 lazima awepo.zingatia kutwaa makombe si tija sana ,lakini je mchango wako katika kutwaa makombe ni wa kipekee? Rejea bernado silva ,ametwaa makombe klabuni na timu ya taifa lakini mchango wake hauonekani kwa namna ya kipekee, kama messi na barca hawakutwaa champions league..lakini vipi shughuli yake? Rejea hat trick ya ronaldo nusu fainali national league,umenisoma?
Kwa mafanikio yapi?
 
Mimi nadhani top 3 itakuwa ronaldo,vvd,messi.
 
Vp kuhusu Alisson Becker ? Yupo kwenye ubora wa pekee, mpaka sasa kwenye Copa America hajaruhusu goli ila kwa kuwa ni kipa no one cares! Iliwahi kutokea kwa Neuer aliyekuwa katika ubora wa hali ya juu lakini Ballon Dor aliisikia kwenye bomba。
 
Back
Top Bottom