Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Mo Salah ameshabeba Uefa Champions League akiwa na Liverpool msimu huu.
Pia anashariki Afcon akiwa na Taifa lake la Misri. Je ikitokea ameshinda Afcon 2019 akiwa na Taifa lake nafasi yake ya kutwaa Ballon D'or ipoje? Maana atakuwa amepata mafanikio makubwa kwa level ya klabu na timu ya taifa.
Karibuni kwa mjadala...
Pia anashariki Afcon akiwa na Taifa lake la Misri. Je ikitokea ameshinda Afcon 2019 akiwa na Taifa lake nafasi yake ya kutwaa Ballon D'or ipoje? Maana atakuwa amepata mafanikio makubwa kwa level ya klabu na timu ya taifa.
Karibuni kwa mjadala...