Farolito
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 12,001
- 27,175
Wakuu,
Hebu tupeane uzoefu .
Mfano imetokea ukaongea na mzazi wako kwenye simu pengine hamjaonana tangu asubuhi, mkasalimiana salamu ya shikamoo na kujuliana hali. Je baada ya muda mfupi mkikutana kuna haja ya kusalimia tena au mtaendelea na maongezi mengine tu?
Au tuchukulie hujaonana na mpenzi wako kwa siku nzima, lakini muda mfupi kabla ya kuonana naye uliongea naye kwenye simu. Je, ukionana naye kuna haja ya kuanza na salamu tena au utaendelea na stories zingine tu?
Je, wewe mtu akikufanyia hivyo utachukulia kawaida au ni muhimu kusalimia tena uso kwa uso?
Hebu tupeane uzoefu .
Mfano imetokea ukaongea na mzazi wako kwenye simu pengine hamjaonana tangu asubuhi, mkasalimiana salamu ya shikamoo na kujuliana hali. Je baada ya muda mfupi mkikutana kuna haja ya kusalimia tena au mtaendelea na maongezi mengine tu?
Au tuchukulie hujaonana na mpenzi wako kwa siku nzima, lakini muda mfupi kabla ya kuonana naye uliongea naye kwenye simu. Je, ukionana naye kuna haja ya kuanza na salamu tena au utaendelea na stories zingine tu?
Je, wewe mtu akikufanyia hivyo utachukulia kawaida au ni muhimu kusalimia tena uso kwa uso?