Charliemic
JF-Expert Member
- Feb 17, 2019
- 602
- 969
Naombeni kufahamu kama kuna tiba yeyote inayoweza kumponya mtu mwenye hii saratani ya damu kitaalamu wanaita multiple myeloma au plasma cancer!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mgonjwa figo zimefail na pia amevunjika mguuMultiple myeloma haina tiba ila mgonjwa anapewa supportive care / palliation na dose za mionzi (chemotherapy) pia muhimu kujua imekua diagnosed stage gani.
Ok kuna vitu ethically inapaswa visizungumzwe sana hasa kwenye public platform ushauri wangu ni atembelee hospital yenye oncologist apate ushauri kwa Tz huko sijui kama ziko nyingi ila nadhani ni wasaa wa magonjwa mengine sasa kupewa kipaumbele na kuongeza awareness.Mgonjwa figo zimefail na pia amevunjika mguu
Mkuu umefunga DmOk kuna vitu ethically inapaswa visizungumzwe sana hasa kwenye public platform ushauri wangu ni atembelee hospital yenye oncologist apate ushauri kwa Tz huko sijui kama ziko nyingi ila nadhani ni wasaa wa magonjwa mengine sasa kupewa kipaumbele na kuongeza awareness.
Mkuu pole kwa mgonjwa wako waSaratani ya damu. Dawa ipo nione kwa wakati wako ili niweze kumtibia mgonjw awako aweze kupona maradhi yake.Naombeni kufahamu kama kuna tiba yeyote inayoweza kumponya mtu mwenye hii saratani ya damu kitaalamu wanaita multiple myloma au plasma cancer!
Ipo pia tiba ya figo kufeli na nikimtibia atapoan kabisa nione kwa wakati wako.Mgonjwa figo zimefail na pia amevunjika mguu
Mgonjwa anapona vizuri tu ina kwa tiba asili ((Herbs) Tuanze na ufafanuzi Aina ya virusi vinavyoambukiza seli T (aina ya seli nyeupe za damu) na vinaweza kusababisha leukemia na lymphoma. Virusi vya leukemia ya aina ya T-cell ya binadamu huenezwa kwa kuchangia sindano au sindano, kwa kutiwa damu mishipani au kwa kujamiiana, na kutoka kwa mama hadi kwa mtoto wakati wa kuzaliwa au kunyonyesha.Naombeni kufahamu kama kuna tiba yeyote inayoweza kumponya mtu mwenye hii saratani ya damu kitaalamu wanaita multiple myeloma au plasma cancer!