Je sera ya afya ya Tanzania inasema nini kuhusu haya?

Je sera ya afya ya Tanzania inasema nini kuhusu haya?

Rockefeller

JF-Expert Member
Joined
Nov 21, 2016
Posts
1,209
Reaction score
2,243
Habari wakuu,

Naomba kujuzwa hivi watoa huduma za afya nchini Tanzania (doctors and nurses) walioajiriwa na wasioajriwa lakini wamesajiriwa na wana leseni za mabaraza yao (MCT & TNMC)

1. Je wanaweza ku practice remotely yaani nje ya health facilities hata bila kuonana na mgonjwa kwa njia ya mawasilianao tu?

2. Je wanaweza kufanya consultation, waka order vipimo, prescribe, na kufanya monitoring remotely?

3. Je sheria na sera ya afya inasemaje?

4. Kama inawezekana inaratibiwa vipi na nani?

Natanguliza shukrani
 
Back
Top Bottom