Trust None
JF-Expert Member
- Feb 12, 2018
- 1,260
- 4,419
Kwa hiyo kumbe hajafa wala haumwi......maana haya mambo yanashangaza sana, wengine wanatuambia yuko mahututi kalazwa hospital huko Nairobi, wengine wanasema keshakufa, wewe unasema ana mambo ya kishamba.....mbona hamueleweki jamaniDikteta bado ana mambo ya kishamba sana hajui kama technologia inakuwa kila dakika, nani bado anaangalia tv tofauti na mpira?
Kwani wagonjwa hawawezi kuwa na mambo ya kishamba?Kwa hiyo kumbe hajafa wala haumwi......maana haya mambo yanashangaza sana, wengine wanatuambia yuko mahututi kalazwa hospital huko Nairobi, wengine wanasema keshakufa, wewe unasema ana mambo ya kishamba.....mbona hamueleweki jamani
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio maana nimeuliza.....kumbe hajafa?Kwani wagonjwa hawawezi kuwa na mambo ya kishamba?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]one of the best exciting and most interesting comentKwa hiyo kumbe hajafa wala haumwi......maana haya mambo yanashangaza sana, wengine wanatuambia yuko mahututi kalazwa hospital huko Nairobi, wengine wanasema keshakufa, wewe unasema ana mambo ya kishamba.....mbona hamueleweki jamani
Sent using Jamii Forums mobile app