Mohamed Abubakar
JF-Expert Member
- Jun 26, 2014
- 984
- 1,179
Nimemsikia Rais Samia akiviasa vyombo vya habari kulazimisha. kuhabarisha MILA, DESTURI NA HESHIMA l za mataifa mengi zinzokwenda kuntume za kwetu.
Kama Rais akiwaasa wanahabari yeye kama mkuu wa serikali ni wakati gani serikali huwa na haki ya kuvunja mila, desturi na heshima za jamii zinazounda Tanzania wakati wa utekelezaji wa majukumu yake.
Naongea haya wakati wa zama hizi ambapo baadhi ya jamii zikilalamika kuwa serikali haiwalindii mila, desturi na heshima uhuru wao, bali kuwapa mateso, kuwadhibiti kwa sababu ya kuonekana ni kama WAHALIFU.
Kabla sijatoa mifano dhahiri. Napenda watu wachangia mada hii kiujumla na kwa maslahi mapana ya taifa.
Kama Rais akiwaasa wanahabari yeye kama mkuu wa serikali ni wakati gani serikali huwa na haki ya kuvunja mila, desturi na heshima za jamii zinazounda Tanzania wakati wa utekelezaji wa majukumu yake.
Naongea haya wakati wa zama hizi ambapo baadhi ya jamii zikilalamika kuwa serikali haiwalindii mila, desturi na heshima uhuru wao, bali kuwapa mateso, kuwadhibiti kwa sababu ya kuonekana ni kama WAHALIFU.
Kabla sijatoa mifano dhahiri. Napenda watu wachangia mada hii kiujumla na kwa maslahi mapana ya taifa.