Je Serikali inaona hivi vibanda vinavyochipuka kila kona ya Jiji.

Je Serikali inaona hivi vibanda vinavyochipuka kila kona ya Jiji.

Trubarg

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2020
Posts
4,388
Reaction score
7,223
Miaka miwili iliyopita Serikali ilifanya jitihada Kwa kile kilichotajwa kuwapanga machinga, zoezi ambayo lilifanyika nchi nzima. Mafanikio yalikuwa makubwa kwani maeneo mengi ambayo yalikuwa na changamoto yalipangika vizuri .
Nguvu na gharama kubwa zilitumika.
Kwa sasa hakuna jitihada zozote zinazofanyika kuhakikisha, maeneo takriban yote ambayo yalisemekana kusafishwa kubaki kwenye usafi ule ambao Serikali ulisema ilikuwa inautaka. Mfano wa meoeno hayo ni Kuanzia, Mlandizi, Chalinze, kibamba Luguruni, Stand ya Mbezi Louis , Kituo cha mabasi cha Magufuli (Humu machinga wameweka Hadi mafiga wanapikia na msosi kabisa), Kimara n.k.
IMG_20241221_091724.jpg

Huenda suala la wamachinga linachukuliwa kisiasa, lakini Jambo hili halipaswi kufumbiwa macho.
Serikali inapaswa kuona na kuchukua hatuna mapema, na kuwa na consistency katika maamuzi Yake, ili kuepusha misuguano isiyokuwa na tija. Nasawsilisha.
 
Tatizo ni kuzaliana sana bila mpangilio maalum kwa imani eti "Kila mtoto anakuja na rizki yake" ilhali mtu na mkewe wana vipato duni, matokeo yake ndio hivyo sasa watoto wanakuja "kuwa machinga" ili wapate pesa ya kula.

Uliwaona watoto wa CEO Mafuru??..
kuzaa sana na kuzaa wachache hakuhusiani na umasikini. Wapo masikini wana watoto wawili tu na wapo matajiri wana watoto wengi. Kuzaa ni uamuzi wa mtu azae vipi kadri anavyojamiana ndivyo uzazi unavyotokea. Kutumia kinga ya uzazi ni uamuzi wa mzazi tu kuwa hataki watoto
 
Tatizo ni kuzaliana sana bila mpangilio maalum kwa imani eti "Kila mtoto anakuja na rizki yake" ilhali mtu na mkewe wana vipato duni, matokeo yake ndio hivyo sasa watoto wanakuja "kuwa machinga" ili wapate pesa ya kula.

Uliwaona watoto wa CEO Mafuru??..
Watu wabishi sana kuelewa, bila mpango wa uzazi ni vigumu sana pia kupanga nchi.
 
Tatizo ni kuzaliana sana bila mpangilio maalum kwa imani eti "Kila mtoto anakuja na rizki yake" ilhali mtu na mkewe wana vipato duni, matokeo yake ndio hivyo sasa watoto wanakuja "kuwa machinga" ili wapate pesa ya kula.

Uliwaona watoto wa CEO Mafuru??..
Akili kama hizi zingekuwa zinaonekana wauza mishkaki mngetuchomea tule na ndizi tatizo sio kuzaliana tatizo mipango nchi ngapi za Afrika zina idadi ndogo ya watu ila wanaishi kama mifugo? kwani Tanzania na China wapi kuna idadi kubwa ya watu? Yaani nyinyi mmeshindwa kubadili maisha ya wananchi mnasingizia kuzaana Baba ako angekuwa mpiga nyeto we usingekuwa jf unaandika Uharo kama huu.
 
Watu wabishi sana kuelewa, bila mpango wa uzazi ni vigumu sana pia kupanga nchi.
Haya ndo Mawazo ya baadhi ya viongozi wa Ccm kwenye kampeni zao visingizio vya kitoto kabisa na wewe utakuwa ni mwenyekiti wa mtaa wako bwege kweli.
 
Miaka miwili iliyopita Serikali ilifanya jitihada Kwa kile kilichotajwa kuwapanga machinga, zoezi ambayo lilifanyika nchi nzima. Mafanikio yalikuwa makubwa kwani maeneo mengi ambayo yalikuwa na changamoto yalipangika vizuri .
Nguvu na gharama kubwa zilitumika.
Kwa sasa hakuna jitihada zozote zinazofanyika kuhakikisha, maeneo takriban yote ambayo yalisemekana kusafishwa kubaki kwenye usafi ule ambao Serikali ulisema ilikuwa inautaka. Mfano wa meoeno hayo ni Kuanzia, Mlandizi, Chalinze, kibamba Luguruni, Stand ya Mbezi Louis , Kituo cha mabasi cha Magufuli (Humu machinga wameweka Hadi mafiga wanapikia na msosi kabisa), Kimara n.k. View attachment 3181417
Huenda suala la wamachinga linachukuliwa kisiasa, lakini Jambo hili halipaswi kufumbiwa macho.
Serikali inapaswa kuona na kuchukua hatuna mapema, na kuwa na consistency katika maamuzi Yake, ili kuepusha misuguano isiyokuwa na tija. Nasawsilisha.
hiyo ni ishara kwamba uchumi unakua na kutanuka kwa kasi mno nchini Tanzania 🐒
 
kuzaa sana na kuzaa wachache hakuhusiani na umasikini. Wapo masikini wana watoto wawili tu na wapo matajiri wana watoto wengi. Kuzaa ni uamuzi wa mtu azae vipi kadri anavyojamiana ndivyo uzazi unavyotokea. Kutumia kinga ya uzazi ni uamuzi wa mzazi tu kuwa hataki watoto
Kuzaa sana kwa masikini ni mzigo mkubwa sana kwa nchi (Macroeconomics) ila ukitazama na jicho la mtu mmoja mmoja ndio utakuja na hoja zisizo na mashiko kama hizi mkuu wangu..
 
Akili kama hizi zingekuwa zinaonekana wauza mishkaki mngetuchomea tule na ndizi tatizo sio kuzaliana tatizo mipango nchi ngapi za Afrika zina idadi ndogo ya watu ila wanaishi kama mifugo? kwani Tanzania na China wapi kuna idadi kubwa ya watu? Yaani nyinyi mmeshindwa kubadili maisha ya wananchi mnasingizia kuzaana Baba ako angekuwa mpiga nyeto we usingekuwa jf unaandika Uharo kama huu.
Uharo anaandika baba yako wewe. Kum@ l* m@m* yak*

Welcome to my ignore list.
 
Viongozi wetu ndio taswira ya jamii tulionayo, wewe unavyoona ni nani alie serious na ishu kama hizo hapo uongozini?
Hii nchi ina watu wapumbavu sana ,hili suala lilipaswa kwewekwa kwenye planning ya nchi ,kadiri population inavyokua nchini ,ndiyo hivyo na matatizo kama uhaba wa huduma za jamii , umasikini na mambo mengine ya ovyo .
Majitu yanaona ufahari kuzaa bila kuwa na uhakika wa ustawi wa vizazi vyao kiuchumi ,ni udumavu wa akili huu

Hata China Tu ,walifikia wakati wakaweka limit ya watu kuzaa , maseng£ humu yanazaa kama panya halafu yanategemea ,elimu ,afya na huduma nyingine za kijamii yapewe bure na serikali , upumbavu
 
Kwamba wewe ni mgeni kwa serikali hii ya CCM? Wanajifunza kwa matukio.

Ngoja roli au daladala liache njia lisombe wote waliokuwa wanauza vitu barabarani ndo utaona wanachukua hizo hatua.
 
....za kupewa changanya na zako. Watoto wa Rais wanatunzwa na Serikali pamoja na rafiki zao wafanyabiashara wakubwa, hata kama Rais akifa.

Kufa wewe Mlalahoi hoi uone watoto wako watakavyokuwa wanaenda river side kuuza sambusa na wa kiume kupiga Kabali.
Kwangu mimi kuzaa sioni shida. Ishu jiwekee mikakati tu na uwe na nidhamu na maisha hela zipo nyingi sana afrika maana shida zipo nyingi nq hela zinapatikana kwa kutatua shida za watu. Acha uoga wa maisha.
 
Back
Top Bottom