Je, Serikali ipo na Sisi au imeamua kutuzamisha kabisa?

Je, Serikali ipo na Sisi au imeamua kutuzamisha kabisa?

Young fadson

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2017
Posts
1,177
Reaction score
1,406
Imagine nmehitimu chuo, nikakosa kazi si kwa kupenda, sababu kubwa ni kutokua na uwezo wa kusafiri kwa ajiri ya interview hasa ktk mikoa ya mbali

Nmejichanga na kupata kihekali kimoja na kufanya kilimo cha mpunga, nmepata mbegu kwa mbinde

Shamba nimekodi kwa pesa nliyoipata kwa mbinde

- Nimelima kwa mbinde

- Nimepalilia kwa mbinde

- Mbegu ndo usiseme

Baada ya mavuno nikapata gunia 15 kwa mbinde
Nlipokua njiani na mazao nkakuta barriers za ushuru wa serikali na utapeli wao kwa jina takatifu la ushuru

Nimewaza na kuwazua kuhusu hizi hatua zote nlizopitia bila msaada wa serikali mwisho serikali inaniibia kwa njia ya ushuru na inafunga pia mipaka nsipate soko lenye uwezo wa kunikwamua

Je, serikali ipo na sisi au inajari masrahi ya majambazi inayoyafuga mle ndani?
 
Imagine nmehitimu chuo, nikakosa kazi si kwa kupenda, sababu kubwa ni kutokua na uwezo wa kusafiri kwa ajiri ya interview hasa ktk mikoa ya mbali

Nmejichanga na kupata kihekali kimoja na kufanya kilimo cha mpunga, nmepata mbegu kwa mbinde

Shamba nimekodi kwa pesa nliyoipata kwa mbinde

- Nimelima kwa mbinde

- Nimepalilia kwa mbinde

- Mbegu ndo usiseme

Baada ya mavuno nikapata gunia 15 kwa mbinde
Nlipokua njiani na mazao nkakuta barriers za ushuru wa serikali na utapeli wao kwa jina takatifu la ushuru

Nimewaza na kuwazua kuhusu hizi hatua zote nlizopitia bila msaada wa serikali mwisho serikali inaniibia kwa njia ya ushuru na inafunga pia mipaka nsipate soko lenye uwezo wa kunikwamua

Je, serikali ipo na sisi au inajari masrahi ya majambazi inayoyafuga mle ndani?
Umemaliza Chuo unaenda kulima mpunga, ambao hawajaenda shule nao wanalima huo huo mpunga tena vizuri zaidi.
 
Imagine nmehitimu chuo, nikakosa kazi si kwa kupenda, sababu kubwa ni kutokua na uwezo wa kusafiri kwa ajiri ya interview hasa ktk mikoa ya mbali

Nmejichanga na kupata kihekali kimoja na kufanya kilimo cha mpunga, nmepata mbegu kwa mbinde

Shamba nimekodi kwa pesa nliyoipata kwa mbinde

- Nimelima kwa mbinde

- Nimepalilia kwa mbinde

- Mbegu ndo usiseme

Baada ya mavuno nikapata gunia 15 kwa mbinde
Nlipokua njiani na mazao nkakuta barriers za ushuru wa serikali na utapeli wao kwa jina takatifu la ushuru

Nimewaza na kuwazua kuhusu hizi hatua zote nlizopitia bila msaada wa serikali mwisho serikali inaniibia kwa njia ya ushuru na inafunga pia mipaka nsipate soko lenye uwezo wa kunikwamua

Je, serikali ipo na sisi au inajari masrahi ya majambazi inayoyafuga mle ndani?
Tafuta plan B hakuna serikali nimatapeli wamekusanyana kuhakikisha mtoto wa mkulima hasogei,palachichi kilo 500 wameuza wenzio,huku niliko hakuna hata mbegu Moja na wala Kale kasomari hakuna shida kako ndani ya AC ya cruiser la biliono Moja,this is shit.
 
Hataree, wanajua kila kitu hadi contents zingine engineer wa kilimo hawezi zielezea kwa kina
Ile program ya jeshi kama uliruka nenda pale chita utajifunza kulima mpunga kwa best practices na hutajuta Tena,nenda Chita on way to Mlimba
 
Imagine nmehitimu chuo, nikakosa kazi si kwa kupenda, sababu kubwa ni kutokua na uwezo wa kusafiri kwa ajiri ya interview hasa ktk mikoa ya mbali

Nmejichanga na kupata kihekali kimoja na kufanya kilimo cha mpunga, nmepata mbegu kwa mbinde

Shamba nimekodi kwa pesa nliyoipata kwa mbinde

- Nimelima kwa mbinde

- Nimepalilia kwa mbinde

- Mbegu ndo usiseme

Baada ya mavuno nikapata gunia 15 kwa mbinde
Nlipokua njiani na mazao nkakuta barriers za ushuru wa serikali na utapeli wao kwa jina takatifu la ushuru

Nimewaza na kuwazua kuhusu hizi hatua zote nlizopitia bila msaada wa serikali mwisho serikali inaniibia kwa njia ya ushuru na inafunga pia mipaka nsipate soko lenye uwezo wa kunikwamua

Je, serikali ipo na sisi au inajari masrahi ya majambazi inayoyafuga mle ndani?
Maisha ni vita.Gangamala.Usizubae au kushangaa.Hiyo ndiyo dunia.Hamna kudekadeka.
 
Maisha ni vita.Gangamala.Usizubae au kushangaa.Hiyo ndiyo dunia.Hamna kudekadeka.
Shida sio kudeka, issue ni ile barrier ya ushuru wakati kila vita nmepigana mwenyew pasipo msaada wa serikali

Kwa style hii naweza toboa kweli? Kumbuka hata soko la mazao yangu halieleweki nauza kwa bei ya hasara ili kupata mtaji zaid wa shamba
 
Ile program ya jeshi kama uliruka nenda pale chita utajifunza kulima mpunga kwa best practices na hutajuta Tena,nenda Chita on way to Mlimba
Sijajuta kwani hata anaehitim hiyo program, kama mazingira yake ya utafutaji yatakutana na vikwazo hawezi fanikiwa kwa kiwango cha juu
 
Imagine nmehitimu chuo, nikakosa kazi si kwa kupenda, sababu kubwa ni kutokua na uwezo wa kusafiri kwa ajiri ya interview hasa ktk mikoa ya mbali

Nmejichanga na kupata kihekali kimoja na kufanya kilimo cha mpunga, nmepata mbegu kwa mbinde

Shamba nimekodi kwa pesa nliyoipata kwa mbinde

- Nimelima kwa mbinde

- Nimepalilia kwa mbinde

- Mbegu ndo usiseme

Baada ya mavuno nikapata gunia 15 kwa mbinde
Nlipokua njiani na mazao nkakuta barriers za ushuru wa serikali na utapeli wao kwa jina takatifu la ushuru

Nimewaza na kuwazua kuhusu hizi hatua zote nlizopitia bila msaada wa serikali mwisho serikali inaniibia kwa njia ya ushuru na inafunga pia mipaka nsipate soko lenye uwezo wa kunikwamua

Je, serikali ipo na sisi au inajari masrahi ya majambazi inayoyafuga mle ndani?
Ndugu
Shiriki kuikomboa nchi yetu kutoka kwa mkoloni CCM
 
Imagine nmehitimu chuo, nikakosa kazi si kwa kupenda, sababu kubwa ni kutokua na uwezo wa kusafiri kwa ajiri ya interview hasa ktk mikoa ya mbali

Nmejichanga na kupata kihekali kimoja na kufanya kilimo cha mpunga, nmepata mbegu kwa mbinde

Shamba nimekodi kwa pesa nliyoipata kwa mbinde

- Nimelima kwa mbinde

- Nimepalilia kwa mbinde

- Mbegu ndo usiseme

Baada ya mavuno nikapata gunia 15 kwa mbinde
Nlipokua njiani na mazao nkakuta barriers za ushuru wa serikali na utapeli wao kwa jina takatifu la ushuru

Nimewaza na kuwazua kuhusu hizi hatua zote nlizopitia bila msaada wa serikali mwisho serikali inaniibia kwa njia ya ushuru na inafunga pia mipaka nsipate soko lenye uwezo wa kunikwamua

Je, serikali ipo na sisi au inajari masrahi ya majambazi inayoyafuga mle ndani?
Hongera sana Mwakani ongeza Hekari acha kulalamika na kulialia ushaanza kuwa mwanzo mzuri
 
Sijajuta kwani hata anaehitim hiyo program, kama mazingira yake ya utafutaji yatakutana na vikwazo hawezi fanikiwa kwa kiwango cha juu
Get skills first where you can adjust yourself out of challenge, challenge mpaka kwa wachungaji zipo,ni endless puzzle
 
Get skills first where you can adjust yourself out of challenge, challenge mpaka kwa wachungaji zipo,ni endless puzzle
Huoni kama solution ya maisha yangu imekua interfered negatively na serikali?
Kwahiyo hatuna cha kuishauri serikali mbali na kushauriana sis wenyew
 
Back
Top Bottom