Young fadson
JF-Expert Member
- Nov 6, 2017
- 1,177
- 1,406
- Thread starter
- #21
Nmeongeza kutoka hekari moja sasa nmelima hekari sita, lakin ushauri wako hauizuii serikali kuendelea kuvuna kingi kutoka kwangu wakati mim sivuni chochote ktoka kwa serikali yangu.Hongera sana Mwakani ongeza Hekari acha kulalamika na kulialia ushaanza kuwa mwanzo mzuri