3 Angels message
JF-Expert Member
- Aug 3, 2017
- 5,350
- 15,426
Kwa kile kilichotokea pale uwanja wa Benjamini Mkapa hakika wengi wametoka vichwa chini pasi na kuamini kilichotea hasa kutokana na imani waliyokuwa nayo kwa timu ya Yanga
Ni kutokana na imani hiyo ilipelekea itolewe ahadi ya ndege ya serikali kuwasafirisha wachezaji, viongozi na mashabiki kuwapeleka Algeria maana waliamini hapa lazima yapatikane matokeo chanya
Kwa matokeo haya ya kufungwa je bado ni halali kutimiza ahadi hiyo?
Ni kutokana na imani hiyo ilipelekea itolewe ahadi ya ndege ya serikali kuwasafirisha wachezaji, viongozi na mashabiki kuwapeleka Algeria maana waliamini hapa lazima yapatikane matokeo chanya
Kwa matokeo haya ya kufungwa je bado ni halali kutimiza ahadi hiyo?