Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Kama mtakuwa muna kumbukumbu nzuri waziri wa fedha alipendekeza kodi ya watu wazima yaani kodi ya kichwa.
Binafsi napenda kulipa kodi na kama serikali itaona uhalali wa kuleta Kodi mpya zingine ziletwe haraka.
Sasa hii kodi inapaswa iwe kwa madaraja. Ashukuriwe Mungu sensa imekuwa mgongo wa serikali kupata watu kwa madaraja.
Hivyo baada ya sensa tutarajie kodi ya kichwa kuanza rasmi.
Wananchi wanaambiwa jambo moja tu kuwa serikali inataka ijue idadi kamili ya watu ili wapate kuwapelekea huduma sawasawa na uhitaji wao ila hawaambiwi kuwa Serikali inataka ifanye tathmini ya kiwango cha kodi kwa kila mtu.
Binafsi napenda kulipa kodi na kama serikali itaona uhalali wa kuleta Kodi mpya zingine ziletwe haraka.
Sasa hii kodi inapaswa iwe kwa madaraja. Ashukuriwe Mungu sensa imekuwa mgongo wa serikali kupata watu kwa madaraja.
Hivyo baada ya sensa tutarajie kodi ya kichwa kuanza rasmi.
Wananchi wanaambiwa jambo moja tu kuwa serikali inataka ijue idadi kamili ya watu ili wapate kuwapelekea huduma sawasawa na uhitaji wao ila hawaambiwi kuwa Serikali inataka ifanye tathmini ya kiwango cha kodi kwa kila mtu.