- Thread starter
- #21
Ingekuwa rahisi watu wasingekuwa wanadisco vyuo vya ualimu. Ualimu nimeusoma ni mgumu tena sana tu. Unajua Curriculum development and evaluation? Philosophy of educatio je? Educational Psychology? Acha kabisa msuli ni muhimu labda mimi nilikuwa na uelewa mchache ndio maana naona mambo yalikuwa magumu chuoni.