Magufuli aliziiba pesa za wastaafu atashindwaje kuzikwiba na hizo za bimaHivi kwa mfano serikali inkiweka mfumo wa kila mwananchi kuchangia tsh elf 20 tu kwa mwaka kwenye bima ya afya inaweza kukusanya zaidi ya bilioni 500 kutoka kwa watanzania zaidi ya milioni 50 kwa mwaka. Hii pesa iende kwenye mfuko wa Bima na serikali isiiguze kwa matumizi mengine, hii ishu ya kufungua shops ni kupoteza muda na rasilimali tu.
Inatakiwa mfumo mzima wa uongozi ubadilikeMagufuli aliziiba pesa za wastaafu atashindwaje kuzikwiba na hizo za bima
Ninayo bima lakini mara nyingi nanunua dawa kwa fedha taslimu kwa sababu ya ukosefu wa dawa hospitaliNenda kakate mbona watu tunazo au unataka ukatiwe
Ni njia nzuri ya kuua biashara za watu. Huko serikalini kuna watu akili zao haziko sawa wanatengeza sera kufanya siasa, badala ya kuinua Afya na uchumi .Awamu ya 5 inachosha sana wanaendesha inchi km familia ama kampuniYaani sijajua how come Serikali inaanza kuuza dawa yaani inafungua maduka ya kuuza dawa.
Badala wajikite kuweka mifumo bora ya afya ikiwemo Bima wao wanakimbilia kuanzisha maduka ya kuuza dawa.
Dawa zinanunuliwa kwa kodi then zinarudi kuuzwa tena, cha kushangaza hospitali na vituo vya afya unakuta kuna panadol pekee.
Aliyetoa wazo la Serikali kuwa na maduka ya madawa ni nani?
Hawa ni wa kupiga Chini tarehe 28 mwezi huu.
Naamini kila hospitali hapa nchini ina structure tofauti, au miundombinu kimajengo yako tofauti sana. Ukiongelea muhimbili naweza kukubali kwamba kila wodi labda iwe na pharmacy yake, kwasababu haya majengo ni makubwa sana, Sewa haji, Mwaisela, Kibasila, Out patient clinic, Wodi ya watoto huku, wodi za wazazi kule,psychiatry huku, na MOI na kadhalika ni eneo kubwa na kila jengo linahitaji kujitegemea kama tunaweza...
I see hatari dawa hakuna wagonjwa tunarudi bila dawa. Yaani duka liko jeupe.Ni moja kati ya kuimarisha sekta ya afya imesaidia sana
Wewe ndio una mawazo mufilisi kabisa.Hivi huoni kwamba ukifanya dawa ziwe more accessible na zikauzwa kwa bei nafuu kuliko kwenye maduka binafsi umeboresha hudumu za afya!Na ni nani asiyejua kwamba kwenye hospitali zetu za serikali sasa dawa zinapatikana zaidi kuliko kwenye awamu zote zilizopita?Usipotoshe mambo mkuu kwa malengo yako ya kisiasa,be realistic.After all maendeleo ni process,serikali haitafanikisha kila kitu mara moja,lakini adhma yake ni kuwezesha dawa zipatikane kwenye hospitali zote kila wakati. Tunajua tatizo la wizi wa dawa lipo,lakini hili nalo naamini serikali italimaza,ni swala LA muda tu.Rome was not built in a day.Yaani sijajua how come Serikali inaanza kuuza dawa yaani inafungua maduka ya kuuza dawa.
Badala wajikite kuweka mifumo bora ya afya ikiwemo Bima wao wanakimbilia kuanzisha maduka ya kuuza dawa.
Dawa zinanunuliwa kwa kodi then zinarudi kuuzwa tena, cha kushangaza hospitali na vituo vya afya unakuta kuna panadol pekee.
Aliyetoa wazo la Serikali kuwa na maduka ya madawa ni nani?
Hawa ni wa kupiga Chini tarehe 28 mwezi huu.
"ilitakiwa dawa nyingi ziwekwe kwenye maduka ya kila wodi ili kuimarisha huduma". Mkuu hapa kidogo umeniacha. Ninachofahamu wodi hazina duka la dawa. Hospitali inaweza kuwa na labda dispensing mbili kwa mfano. Watu wa wodini kwa mfumo wa zamani ndiyo wanaenda kuchukua dawa pharmacy kubwa na kuzileta wodini kwa ajili ya wagonjwa. Walipoleta mfumo mpya wa malipo na duka la dawa ndipo unatakiwa uende dukani au mgonjwa mwenyewe akachukue dawa azilete wodini. Na mfamasia yupo mmoja ambaye anakaa pale pharmacy na siyo kila wodi kwamba kuna mfamasia,hapana. Nilikuwa najaribu kuweka sawa kidogo,tuendelee kuelimishana.Lengo la Magufuli kuanzisha maduka mapya ya dawa nje ya Hospitali za umma ilikuwa kuwakomoa wenye maduka binafsi nje ya hospitali hizo , ukimsikia alipokuwa anatia nia hiyo utanielewa, maana aliropoka hadharani.
Kumbuka kwamba kila wodi ya wagonjwa inalo duka la dawa ndani yake, wagonjwa wote kabla ya Magufuli kuingia walinunua dawa kwenye maduka yale, ikiwa kama wakikosa dawa ndio walinunua nje kwenye maduka binafsi, wala hakukuwa na sababu yoyote hata ya kijinga kufungua maduka yaliyoitwa ya MSD nje ya hospitali za rufaa, ilitakiwa dawa nyingi ziwekwe kwenye maduka ya kila wodi ili kuimarisha huduma, kumbuka wodi zile zina wafamasia werevu sana na wazoefu mno.
Haya ndio madhara ya mtu mmoja kudhani ana akili kuliko wote.
unafahamu kwamba kila wodi ina chumba cha watoa dawa ?"ilitakiwa dawa nyingi ziwekwe kwenye maduka ya kila wodi ili kuimarisha huduma". Mkuu hapa kidogo umeniacha. Ninachofahamu wodi hazina duka la dawa. Hospitali inaweza kuwa na labda dispensing mbili kwa mfano. Watu wa wodini kwa mfumo wa zamani ndiyo wanaenda kuchukua dawa pharmacy kubwa na kuzileta wodini kwa ajili ya wagonjwa. Walipoleta mfumo mpya wa malipo na duka la dawa ndipo unatakiwa uende dukani au mgonjwa mwenyewe akachukue dawa azilete wodini. Na mfamasia yupo mmoja ambaye anakaa pale pharmacy na siyo kila wodi kwamba kuna mfamasia,hapana. Nilikuwa najaribu kuweka sawa kidogo,tuendelee kuelimishana.
unafahamu kwamba kila wodi ina chumba cha watoa dawa ?
Labda isiwe serikali ya viwonderHivi kwa mfano serikali inkiweka mfumo wa kila mwananchi kuchangia tsh elf 20 tu kwa mwaka kwenye bima ya afya inaweza kukusanya zaidi ya bilioni 500 kutoka kwa watanzania zaidi ya milioni 50 kwa mwaka. Hii pesa iende kwenye mfuko wa Bima na serikali isiiguze kwa matumizi mengine, hii ishu ya kufungua shops ni kupoteza muda na rasilimali tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],hii ni sawa na tsh 2000 kwa mwezi tu.Labda isiwe serikali ya viwonder
English courseVery sad this regime must threw out
Naunga mkono.Wewe ndio una mawazo mufilisi kabisa.Hivi huoni kwamba ukifanya dawa ziwe more accessible na zikauzwa kwa bei nafuu kuliko kwenye maduka binafsi umeboresha hudumu za afya!Na ni nani asiyejua kwamba kwenye hospitali zetu za serikali sasa dawa zinapatikana zaidi kuliko kwenye awamu zote zilizopita?Usipotoshe mambo mkuu kwa malengo yako ya kisiasa,be realistic.After all maendeleo ni process,serikali haitafanikisha kila kitu mara moja,lakini adhma yake ni kuwezesha dawa zipatikane kwenye hospitali zote kila wakati. Tunajua tatizo la wizi wa dawa lipo,lakini hili nalo naamini serikali italimaza,ni swala LA muda tu.Rome was not built in a day.
Hawana nia njema na sisi hata kidogoYaani sijajua how come Serikali inaanza kuuza dawa yaani inafungua maduka ya kuuza dawa.
Badala wajikite kuweka mifumo bora ya afya ikiwemo Bima wao wanakimbilia kuanzisha maduka ya kuuza dawa.
Dawa zinanunuliwa kwa kodi then zinarudi kuuzwa tena, cha kushangaza hospitali na vituo vya afya unakuta kuna panadol pekee.
Aliyetoa wazo la Serikali kuwa na maduka ya madawa ni nani?
Hawa ni wa kupiga Chini tarehe 28 mwezi huu.