Salamu wanajamvi!
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, napenda nifahamu mwanamke anapolala na kujamiiana na mwanaume zile shahawa, mbegu na majimaji vinapoingia kwenye uke wake huwa zinakaa muda gani??
Inajulikana kuwa uke unao uwezo wa kujisafisha na kutoa zile shahawa baada ya muda au siku fulani. Na mwanamke huwa anajisafisha baada ya lile tendo. Lkn kujisafisha kwake mwanamke hakumalizi ule uchafu, uchafu husafishwa na kuwa Safi kwa kusafishwa na uke wenyewe. Je, uchafu mpaka uishe na uke au uchi wa mwanamke uwe Safi kabisa inachukua masaa mangapi au siku ngapi?
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, napenda nifahamu mwanamke anapolala na kujamiiana na mwanaume zile shahawa, mbegu na majimaji vinapoingia kwenye uke wake huwa zinakaa muda gani??
Inajulikana kuwa uke unao uwezo wa kujisafisha na kutoa zile shahawa baada ya muda au siku fulani. Na mwanamke huwa anajisafisha baada ya lile tendo. Lkn kujisafisha kwake mwanamke hakumalizi ule uchafu, uchafu husafishwa na kuwa Safi kwa kusafishwa na uke wenyewe. Je, uchafu mpaka uishe na uke au uchi wa mwanamke uwe Safi kabisa inachukua masaa mangapi au siku ngapi?