To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
🤣🤣🤣Maswali kama haya huwa yameambatana na maumivu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣Maswali kama haya huwa yameambatana na maumivu
N sawa na mwanamke akianza kuuliza au kugugo dalili za mimba ujue tayar kimeshawaka
HakikaN sawa na mwanamke akianza kuuliza au kugugo dalili za mimba ujue tayar kimeshawaka
Yaani malighafi za kuujaza ulimwengu unaita uchafu!? Huo unaouita uchafu una watu zaidi ya milioni 100 humo! Yaani mabao 70 tu ya mwanaume mwenye afya njema ni zaidi ya population yote hii unayoiona duniani kuanzia mtaani kwako, kwenye TV hadi magazetini.Salamu wanajamvi!
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, napenda nifahamu mwanamke anapolala na kujamiiana na mwanaume zile shahawa, mbegu na majimaji vinapoingia kwenye uke wake huwa zinakaa muda gani??
Inajulikana kuwa uke unao uwezo wa kujisafisha na kutoa zile shahawa baada ya muda au siku fulani. Na mwanamke huwa anajisafisha baada ya lile tendo. Lkn kujisafisha kwake mwanamke hakumalizi ule uchafu, uchafu husafishwa na kuwa Safi kwa kusafishwa na uke wenyewe. Je, uchafu mpaka uishe na uke au uchi wa mwanamke uwe Safi kabisa inachukua masaa mangapi au siku ngapi?
Kabisa atuombe radhi na afanye tobaTena anapaswa kutuomba radhi kabisa yaani manii anaita uchafu kweli? Aisee imeniuma sana! tena kwa taarifa yake wakati mwingine manii inaweza kuwa absorbed kupitia vagina.