JUKUMU
Member
- Apr 5, 2009
- 85
- 39
Habari wana JF, ninaomba nisaidiwe kujua Taratibu za matumizi ya majina ya vitu au product hapa Tanzania kutoka nje ya nchi.
Kwa mfano kama kuna kinywaji Huko Uganda au Kenya tuseme kinaitwa UDU na kutokana na Soko hicho kinywaji kinauzwa sana, kwa kuona hivyo na mimi nikaamua kuanzisha kinywaji changu kwa jina hilo yaani UDU hapa Tanzania. Je nikosakisheria? au ninawezatu kuendelea kutumia hilo jina kwa kuonezea manjonjo kidogo?
Naomba msaada wenu wa kisheria.
Asanteni.
Kwa mfano kama kuna kinywaji Huko Uganda au Kenya tuseme kinaitwa UDU na kutokana na Soko hicho kinywaji kinauzwa sana, kwa kuona hivyo na mimi nikaamua kuanzisha kinywaji changu kwa jina hilo yaani UDU hapa Tanzania. Je nikosakisheria? au ninawezatu kuendelea kutumia hilo jina kwa kuonezea manjonjo kidogo?
Naomba msaada wenu wa kisheria.
Asanteni.