Je, shetani/ibilisi anatoka koo zipi miongoni mwa koo za majini? Wazazi waliomzaa ni akina nani?

Je, shetani/ibilisi anatoka koo zipi miongoni mwa koo za majini? Wazazi waliomzaa ni akina nani?

[emoji23] [emoji23] [emoji23] kwamba ibilisi alikua dogo,Mungu hakutaka kuonekana dikteta
 
Kwa nini umesema Ibilisi hazaliani bali anawafuasi tu wanaomtii?

Kama ikiwa Ibilisi ni jini kama majini wengine kwa nini yeye asizaliane? Je hana kizazi wala jinsia?

Sisi binadamu asili yetu ni baba yetu Adamu ndio maana alipolaaniwa yeye basi vizazi vyake vyote (binadamu) tumelaaniwa mpaka tutubu ndipo Mungu ataturudisha tena peponi ,kama ingekuwa ni dhambi ya Adamu pekee basi binadamu wengine waliofuatia baada ya Adamu tukiweml mimi na wewe na sisi tungeishi peponi moja kwa moja kabla ya kuletwa duniani kama ingetokea tumeasi , lakini kitendo cha kuletwa huku duniani moja kwa moja inaonesha Mungu anataka tutubu ndipo aturudishe kule alipokusudia kutuweka hapo awali.


Sasa mantiki ya kukuuliza asili ya Ibilisi ni ipi ni kwamba nilitaka kujua kama majini wote wenye asili kama yake wamelaaniwa kama yeye au laah kuna wengine kutoka katika asili yake wametubu na kuwa waja wema.
IBILISI SIYO JINI ILA ASILI YAKE NI UJININI....HANA MAFUNGAMANO TENA NA FAMILIA ZA MAJINI BAADA YA KUASI KWAKE YAN YY ANAJITEGEMEA NA MATAMANIO YAKE NI KUVUNA WAKWENDA NAO MOTONI...NAO MAJINI WANATAKIWA WAEPUKANE NA FITNA ZAKE....MAJINI HAWAJALAANIWA ILA ALIYELAANIWA NI JINI MWENZAO AMBAYE NDIO AKATENGWA NA KUITWA IBILISI
 
IBILISI SIYO JINI ILA ASILI YAKE NI UJININI....HANA MAFUNGAMANO TENA NA FAMILIA ZA MAJINI BAADA YA KUASI KWAKE YAN YY ANAJITEGEMEA NA MATAMANIO YAKE NI KUVUNA WAKWENDA NAO MOTONI...NAO MAJINI WANATAKIWA WAEPUKANE NA FITNA ZAKE....MAJINI HAWAJALAANIWA ILA ALIYELAANIWA NI JINI MWENZAO AMBAYE NDIO AKATENGWA NA KUITWA IBILISI
Ibilisi sio jini tena ,mbona unajikanyaga kanyaga sana [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Kama Ibilisi sio jini wala malaika wala binadamu je kiumbe gani?
 


Mkuu mimi kwa mujib wa Biblia, Shetani alikua ni malaika aliyeongoza kitengo cha sifa, inasemekana alitaka yeye aabudiwe badala ya Mungu, hapo ndio alipigwa chini akashushwa chini lakini aliondoka na theluthi ya malaika. Hiyo ni kwa mujibu wa Biblia. Inamaana asili yake ni kama ya malaika wengine isipokuwa yeye aliasi akatupwa duniani. Ni hayo tu kwa uchache.
 
Kuna koo moja inaitwa CCM ndio anatokea humo I think
Mtu mzima kuongea au kutenda mambo kama ya utoto kuna dhihirisha ni kwa kiasi gani kichwani kwake kumejaa funza pia ni dalili tosha kwamba alipokuwa mdogo hakunyonya vizuri.
 
Kwani wewe unaelewa nini kuhusu asili ya ibilisi?
Anyway nimekuuliza chanzo chako ulichotumia kumuwakilisha ibilisi umekitoa wapi?

Lkn umeuliza swali bila kujibu swali. Mm binafsi nimetambua uwepo Wa ibilisi sababu ya kuamini uwepo Wa Mungu kupitia mafundisho ya Biblia.

Hivyo Biblia inamfafanua ibilisi kupitia mafungu haya.
Mwanzo 3:1-16,Isaya 14:12-15, Ezekiel 28 :12-19, Matayo 4:1-11
 
Ibilisi sio jini tena ,mbona unajikanyaga kanyaga sana [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Kama Ibilisi sio jini wala malaika wala binadamu je kiumbe gani?
Bila shaka aliteleza maana ibilisi anasema kaumbwa na moto kwa hiyo ni hakika alikuwa jini
 
Ibilisi sio jini tena ,mbona unajikanyaga kanyaga sana [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Kama Ibilisi sio jini wala malaika wala binadamu je kiumbe gani?
MKUUU IBILISI SIYO JINI ILA ASILI YAKE NI UJININI...KATOKA KWENYE UJINI NA KUWA IBILISI BAADA YA KUASI....SIJASEMA MAHALA POPOTE KUWA IBILISI NI JINI ILA IBILISI/SHETANI ASILI YAKE YA JINI...KWAHERI NITAJIBU LINGINE LITAKALO KWA WADAU SI KWAKO TENA MANA HUENDA UNAULIZA UKIWA NA MAJIBU YAKO KICHWANI
 
MKUUU IBILISI SIYO JINI ILA ASILI YAKE NI UJININI...KATOKA KWENYE UJINI NA KUWA IBILISI BAADA YA KUASI....SIJASEMA MAHALA POPOTE KUWA IBILISI NI JINI ILA IBILISI/SHETANI ASILI YAKE YA JINI...KWAHERI NITAJIBU LINGINE LITAKALO KWA WADAU SI KWAKO TENA MANA HUENDA UNAULIZA UKIWA NA MAJIBU YAKO KICHWANI
Kwa hiyo Ibilisi ni nani? Kama sio jini wala malaika?
 
Kwa hiyo Ibilisi ni nani? Kama sio jini wala malaika?
IBILISI NDIO SHETANI SIYO MALAIKA MANA MALAIKA HAWAJAWAHI KUMUASI MUUMBA....ASILI YAKE NI UJININI ILA KATOLEWA HUKO NA KUWA SHETANI ANAYEJITEGEMEA....HANA NDUGU WA JAMAA ILA UKIMFUATA NDIO ANAKUWA RAFIKI WAKO KINAFKI ILA YEYE NI ADUI KWA MWANADAM NA MAJINI
 
IBILISI NDIO SHETANI SIYO MALAIKA MANA MALAIKA HAWAJAWAHI KUMUASI MUUMBA....ASILI YAKE NI UJININI ILA KATOLEWA HUKO NA KUWA SHETANI ANAYEJITEGEMEA....HANA NDUGU WA JAMAA ILA UKIMFUATA NDIO ANAKUWA RAFIKI WAKO KINAFKI ILA YEYE NI ADUI KWA MWANADAM NA MAJINI
Naweka kumbukumbu sawa hapa
1.IBILISI ni jina la huyo jini alieasi
2.SHETANI ni sifa ya uovu (IBILISI akiasi anakuwa na sifa ya ushetani kwa hiyo anakuwa SHETANI)
3.SHETANI ni uovu anaweza BINADAMU au JINI
hayo maswali yenu mengine naendelea kusoma majibu ya wadau
 
Naweka kumbukumbu sawa hapa
1.IBILISI ni jina la huyo jini alieasi
2.SHETANI ni sifa ya uovu (IBILISI akiasi anakuwa na sifa ya ushetani kwa hiyo anakuwa SHETANI)
3.SHETANI ni uovu anaweza BINADAMU au JINI
hayo maswali yenu mengine naendelea kusoma majibu ya wadau
Mkuu huyu jamaa nimeona nimuache tu maana hajui anachokiongea, fuatilia hata majibu yake mengine huko juu .
 
Mkuu huyu jamaa nimeona nimuache tu maana hajui anachokiongea, fuatilia hata majibu yake mengine huko juu .
DAH......KUNA KITU KIMOJA....HAKUNA ALIYE KUJANA KUPINGA KWAMBA HAJAELEWA NINACHOANDIKA......UKWELI NI KWAMBA SIWEZI KUKULAZIMISHA UNIELEWE ILA NAOMBA APATIKANE UTAKAYE MWELEWA...HUENDA NAJUA ILA NIKAWA NAKOSEA KTK UFIKISHAJI.....AU NAFIKISHA TATIZO LIKAWA KWA MPOKEAJI SO LOLOTE LAWEZA KUWA SINA GUARANTEE YA WEWE KUNIELEWA ILA NAAMINI WAPO WALIONIELEWA
 
Kama inavyojulikana ibilisi alikuws ni jini miongoni mwa kundi la malaika,na kwa kuwa majini yanasifa ya kuzaliana basi bila shaka ibilisi na yeye alikuwa na wazazi na ndugu pia, na kama inavyojulikana majini yapo ya aina mbalimbali na koo pia sasa je ibilisi anatokea ukoo upi wa ujinini?,wazazi wake majina yao ni nani na nani, vipi kuhusu ndugu zake ni akina nani na nani?

Nani alikuwa jini wa kwanza kuumbwa?Je na wao lilitokea tukio la Adamu na Hawa kule Eden? Historia yao ilikuwaje mpaka wakaletwa duniani na kuzaliana?Je inafanana fanana na baba yetu Adamu??

Historia inaonesha kwamba mara baada ya majini kumuasi Mungu kupindukia ,malaika walitumwa na Mungu kwenda kuangamiza mji wao(Kama walivyoangamiza miji mingine e.g Sodoma na Gomora),na waliwaangamiza majini yote kasoro mmoja ambaye ndiye huyu Ibilisi, Ibilisi kipindi hicho alikuwa mdogo sana hivyo malaika walimuonea huruma kumuangamiza hivyo waliamua kwenda naye mbinguni,lakini Mungu aliwatadharisha sana juu ya Ibilisi kwamba ndiye kiumbe kitakacholeta maafa makubwa siku za mbeleni lakini malaika walimuomba sana Mungu awaruhusu wakae naye , Mungu alowakubalia ili asionekane dikteta na mtesaji kama ambavyo Ibilisi alikuwa akiwaaminisha hivyo baadhi ya malaika.

Kwa hiyo mpaka hatua hii inaonesha si kweli kwamba bifu la Ibilisi na Mungu lilianzia pale Ibilisi alipokataa kumsujudia Adamu kwa kudai yeye ni bora zaidi kwa kuwa kaumbwa kwa moto tofauti na Adamu aliyeumbwa kwa udongo, inaonesha Ibilisi bado alikuwa na hasira na kinyongo kwa kutenganishwa/kuuliwa kwa ndugu zake na hao malaika kwa amri kutoka kwa Mwenyezi Mungu.


Sasa linakuja ,je baada ya Ibilisi kufukuzwa mbinguni uzao wake ulianzaje anzaje???Au je Ibilisi ndiye huyu Samael ambaye inasemekana ndiye aliyemchukua Lilith kutoka kwa Adamu na kuzaliana naye????
Mkuu, kuna elimu nyengine au maarifa mengine ukiwa nayo hayana manufaa na usipokuwa nayo hayadhuru kwa kuonekana mjinga.

Kwa hiyo, kujua jini ibilisi asili ya wazazi wake, koo yake ni elimu isiyokuwa na manufaa na kutojua asili ya wazazi wake au ukoo ni ujinga usiyodhuru.

Samahani kama nitakukwaza kwa majibu yangu.
 
Mkuu, kuna elimu nyengine au maarifa mengine ukiwa nayo hayana manufaa na usipokuwa nayo hayadhuru kwa kuonekana mjinga.

Kwa hiyo, kujua jini ibilisi asili ya wazazi wake, koo yake ni elimu isiyokuwa na manufaa na kutojua asili ya wazazi wake au ukoo ni ujinga usiyodhuru.

Samahani kama nitakukwaza kwa majibu yangu.
Kwa hiyo?
 
Naweka kumbukumbu sawa hapa
1.IBILISI ni jina la huyo jini alieasi
2.SHETANI ni sifa ya uovu (IBILISI akiasi anakuwa na sifa ya ushetani kwa hiyo anakuwa SHETANI)
3.SHETANI ni uovu anaweza BINADAMU au JINI
hayo maswali yenu mengine naendelea kusoma majibu ya wadau
Na ibilisi alikuwa na nickname nyingi kama Aza'a zil, Abaa sijda
 
Back
Top Bottom