Kwa mantiki hii umekubaliana nami kuwa 10m haitoshisa hapo mbona ukianza na boma fresh hela ikikata unaezeka vyumba viwili unahamia na kupambana kumalizia mambo mengine
sa hapo mbona ukianza na boma fresh hela ikikata unaezeka vyumba viwili unahamia na kupambana kumalizia mambo mengine
Mbona tunaambiwa watu wa Pwani ni wavivu sana. Huwa wanaweza vip ku afford hizo tofali za blocks ?Itakufikisha mahali ila haitotosha tatizo ni kuwa pwani ujenzi unatumia tofali za block ambazo ni expensive
Kwa nyumba za Dar za kuweka dirisha fremu ya mbao + wire mesh + Mesquito itatosha, lakini ukifanya kisasa kuangaika na Aluminium na finishing ya kisasa hutafika popoteAsalaam wadau!
Nimenunua shamba mkoa wa Pwani, nje kidogo ya Mkuranga. Lengo kuu ni kumuweka Bi. Mkubwa wangu kwasababu maisha ya Dar es Salaam yamekuwa busy sana kwa mtu mzima kama yeye.
Sasa nataka kujenga nyumba yenye nafasi hata watoto wangu wakienda kumtembelea bibi wasibanane. Na yeye maisha yake yote ni ya mjini kwa hivyo ni lazima iwe yenye mazingira ya kuvutia kidogo.
Kwa sasa bajeti yangu ni shilingi milioni kumi tu. Swali, je hii pesa inatosha kujenga japo nyumba ndogo huko kijijini? Au ni nyumba ya aina gani inaweza kutosha kwa pesa hii.
Natanguliza shukrani.
Kwa mantiki hii umekubaliana nami kuwa 10m haitoshi
Basi sawaSikubali na wewe,
kwasababu mtoa mada hajataja ukubwa wa nyumba yake, idadi ya vyumba, ukubwa wa chumba kimoja kimoja
Sikubali na wewe,
kwasababu mtoa mada hajataja ukubwa wa nyumba yake, idadi ya vyumba, ukubwa wa chumba kimoja kimoja
No waliojenga pwani wengi sio wazaliwa wa pwani bali ni wageni *wakuja* asilimia kubwa ya watu wa pwani bado wanaishi ndani ya mbavu za mbwa japo sio wote but as time goes on wanabadilikaMbona tunaambiwa watu wa Pwani ni wavivu sana. Huwa wanaweza vip ku afford hizo tofali za blocks ?
za udongo ambazo hazijachomwa? au tofali gani hizo,Hapana, nahitaji tofali za kawaida(sio za kuchoma).
hongereni wote..lol...
Jf kuna watu ni wajinga wanajua kila kitu.
Acha kumdanganya mwenzio ndugu yangu. Labda kama unamaanisha ajenge zile nyumba za udongo
Assume nyumba yako itatumia bati 100 za gauge 30. 100@ 20000=2million
Misumari ya bati kilo 30@8000=240000/= kofia 20@10000=200000/= mbao 200@5500= 1100000/= na fisherboard 20@10000=200000/= na misumari ya nchi 4 kilo 45=130000/=
Jumla utapata = 3,840,000/= jumlisha hela ya fundi kama 800000/= kupaua jumla utapata 4,640,000/=
Chukua 10mil toa hiyo 4.6mil utabakiwa na kama 5.4 mil haya hiyo 5.4 ndo kwa ajili ya materials za kusimamisha boma na hela ya mafundi je unahisi itatosha?
Thus is why tunasema itakufikisha mahai ila haitamaliza
Haitoshi kwa sababu haitoshi. Hiyo ni hela ndogo sana kujenga nyumba "ya kisasa yenye nafasi". Kuna tofauti kubwa sana kati ya nyumba na banda.Asprin toa sababu kwa nini haitoshi
Ili awe anarudia rudia dukani si ndioBati 100 ni nyingi mno chumba kimoja cha 10 kwa 13 kinahitaji bati tufanye 16 mara vyumba 4 ni bati 60 na kitu. Roughly fanya bati 70 kwa hiyo 1.7 na usafiri misumari pia kilo 30 ni mingi mno kilo 20 inatosha mbao inategemea na muinuko wa paa kwa mimi milion 10 inatosha Kabisaa