Je, sifa anazopewa Kafulila zina ukweli wowote?

Je, sifa anazopewa Kafulila zina ukweli wowote?

Ana IDs 30 anajipromote mwenyewe
Hata kama ana ID zaidi 500 humu Hilo sio hitaji letu.

Sisi tunataka kujua ni kweli alicheua 3bil?

Sisi tunataka kujua ni kweli amerudisha 2bil kama chenji

Sisi tunataka kujua ni kweli jamaa hajawahi kupiga dili lolote la pesa kwa utumishi wake wote Serikalini?

Sisi tunataka kujua ni kweli Kishoa alimkimbia kwa sababu hataki kupiga pesa ili wabadili maisha kama wanasiasa wengine?
 
Jibu ni kuwa Mheshimiwa David Kafulila ni mtu na kiongozi alinyeooka kama rula.alipokuwa RAS mkoa wa Songwe alipewa takribani Billion 6 kwa ajili ya ujenzi wa Makao makuu ya mkoa.lakini alimaliza vizuri ujenzi na kwa ubora wa hali ya juu kwa kutumia Billion 4 Tu na kuacha chenji ya takribani Billion 2. Jambo ambalo liliteka hisia za watu wengi sana ambao wanaendelea kumkumbuka na kumpongeza sana kwa uzalendo huo aliouonyesha wa uaminifu na uadilifu wa kiwango cha juu. Mheshimiwa hana uroho wala tamaa ya pesa chafu.

Angekuwa na uroho na tamaa ya pesa na kutaka utajiri wa njia fupi basi angejipatia mapesa mengi sana katika sakata la Escrow. Lakini Mheshimiwa alisimama kwa ajili ya Taifa na maslahi ya Taifa kupigania pesa na kodi za watanzania wanyonge.

Kiufupi Mheshimiwa Kafulila ni mtu msafi asiye na doa la aina yoyote ile la ufisadi au rushwa. hapo sijazungumzia makubwa aliyoyafanya alipokuwa RC Simiyu .na namna alivyo mrudisha mkandarasi kurudia ujenzi wa barabara kwa gharama zake mwenyewe baada ya kugundulika amejenga chini ya kiwango.
Ila wewe jamaa na wewe nakuona unachembe chembe za uzalendo

Endelea kusimama na wazalendo heshima yako itakua sana.
 
Hata kama ana ID zaidi 500 humu Hilo sio hitaji letu.

Sisi tunataka kujua ni kweli alicheua 3bil?

Sisi tunataka kujua ni kweli amerudisha 2bil kama chenji

Sisi tunataka kujua ni kweli jamaa hajawahi kupiga dili lolote la pesa kwa utumishi wake wote Serikalini?

Sisi tunataka kujua ni kweli Kishoa alimkimbia kwa sababu hataki kupiga pesa ili wabadili maisha kama wanasiasa wengine?
Mwongo huyu Tumbili.
 
amani iwe kwenu,

Kwa wale wote mliowahi kuwa karibu na David Kafulila kwa nyakati na sehemu tofauti tofauti nje na ndani ya siasa mtusaidie kujibu maswali haya,

1. Je, ni kweli kwamba huyu David Kafulila anachukia rushwa kwa moyo wake wote na kwanguvu zake zote kama tunavyoambiwa?

2. Je, ni kweli kwamba David Kafulila hajawahi kupiga dili lolote la pesa tangu akiwa Mbunge, RAS, RC na sasa PPP-Center kama tunavyoambiwa?

3. Je, ni kweli kwamba David Kafulila alikataa zaidi ya TZS 3bilioni za Tegeta Escrow mwaka 2014 kama tunavyoambiwa?

4. Je, ni kweli kwamba David Kafulila anauchukia Ufisadi na Mafisadi toka ndani ya moyo wake kama tunavyoambiwa?

5. Je, ni kweli kwamba David Kafulila hajawahi kuhusishwa kabisa na kashfa zozote za rushwa au ufisadi kipindi chote Cha utumishi wake Serikalini kama tunavyoambiwa?

6. Je, ni kweli kwamba David Kafulila alirudisha chenji ya TZS 2 bilíoni kutoka katika TZS 6 bilioni alizopewa kujenga Makao Makuu ya Mkoa wa Songwe kama tunavyoambiwa?

7. Je, ni kweli David Kafulila alipoteza ndoa yake na Jesca Kishoa kwa sababu ya maisha duni ya Kizalendo anayoishi kama tunavyoambiwa?


Comments ziwe fupifupi
Ngoja nimfuatilie kama ni kweli ila kama itakuwa kweli basi ni yeye
 
Hata kama ana ID zaidi 500 humu Hilo sio hitaji letu.

Sisi tunataka kujua ni kweli alicheua 3bil?

Sisi tunataka kujua ni kweli amerudisha 2bil kama chenji

Sisi tunataka kujua ni kweli jamaa hajawahi kupiga dili lolote la pesa kwa utumishi wake wote Serikalini?

Sisi tunataka kujua ni kweli Kishoa alimkimbia kwa sababu hataki kupiga pesa ili wabadili maisha kama wanasiasa wengine?

Kama ndio hivi Kuna siku Tanzania itàuelewa uadili wa huyu jamaa ila kwa sasa watu hawana shida ya Uzalendo wanashida ya kupiga pesa

Kama baada ya Mama, Mama angeliachia Taifa huyu mtu angekuwa amelipa Taifa zawadi kubwa zaidi.
 
Kama ndio hivi Kuna siku Tanzania itàuelewa uadili wa huyu jamaa ila kwa sasa watu hawana shida ya Uzalendo wanashida ya kupiga pesa

Kama baada ya Mama, Mama angeliachia Taifa huyu mtu angekuwa amelipa Taifa zawadi kubwa zaidi.
Kwakweli record za Kafulila zinawapa morali hata vijana wengine kuwa waadilifu kama yeye.
 
amani iwe kwenu,

Kwa wale wote mliowahi kuwa karibu na David Kafulila kwa nyakati na sehemu tofauti tofauti nje na ndani ya siasa mtusaidie kujibu maswali haya,

1. Je, ni kweli kwamba huyu David Kafulila anachukia rushwa kwa moyo wake wote na kwanguvu zake zote kama tunavyoambiwa?

2. Je, ni kweli kwamba David Kafulila hajawahi kupiga dili lolote la pesa tangu akiwa Mbunge, RAS, RC na sasa PPP-Center kama tunavyoambiwa?

3. Je, ni kweli kwamba David Kafulila alikataa zaidi ya TZS 3bilioni za Tegeta Escrow mwaka 2014 kama tunavyoambiwa?

4. Je, ni kweli kwamba David Kafulila anauchukia Ufisadi na Mafisadi toka ndani ya moyo wake kama tunavyoambiwa?

5. Je, ni kweli kwamba David Kafulila hajawahi kuhusishwa kabisa na kashfa zozote za rushwa au ufisadi kipindi chote Cha utumishi wake Serikalini kama tunavyoambiwa?

6. Je, ni kweli kwamba David Kafulila alirudisha chenji ya TZS 2 bilíoni kutoka katika TZS 6 bilioni alizopewa kujenga Makao Makuu ya Mkoa wa Songwe kwa BOQ ile ile kama tunavyoambiwa?

7. Je, ni kweli David Kafulila alipoteza ndoa yake na Jesca Kishoa kwa sababu ya maisha duni ya Kizalendo anayoishi kama tunavyoambiwa?


Comments ziwe fupifupi
Nimepitia comment zote zijaona hata tuhuma kwa Kafulila,

Huenda yote yanayosemwa akawa ni kweli.
 
Naona TISS mko kazini ila huyu mtu anashida ya Uraia chunguzeni kama hizo tuhuma si za kweli basi anafaa sana.
 
amani iwe kwenu,

Kwa wale wote mliowahi kuwa karibu na David Kafulila kwa nyakati na sehemu tofauti tofauti nje na ndani ya siasa mtusaidie kujibu maswali haya,

1. Je, ni kweli kwamba huyu David Kafulila anachukia rushwa kwa moyo wake wote na kwanguvu zake zote kama tunavyoambiwa?

2. Je, ni kweli kwamba David Kafulila hajawahi kupiga dili lolote la pesa tangu akiwa Mbunge, RAS, RC na sasa PPP-Center kama tunavyoambiwa?

3. Je, ni kweli kwamba David Kafulila alikataa zaidi ya TZS 3bilioni za Tegeta Escrow mwaka 2014 kama tunavyoambiwa?

4. Je, ni kweli kwamba David Kafulila anauchukia Ufisadi na Mafisadi toka ndani ya moyo wake kama tunavyoambiwa?

5. Je, ni kweli kwamba David Kafulila hajawahi kuhusishwa kabisa na kashfa zozote za rushwa au ufisadi kipindi chote Cha utumishi wake Serikalini kama tunavyoambiwa?

6. Je, ni kweli kwamba David Kafulila alirudisha chenji ya TZS 2 bilíoni kutoka katika TZS 6 bilioni alizopewa kujenga Makao Makuu ya Mkoa wa Songwe kwa BOQ ile ile kama tunavyoambiwa?

7. Je, ni kweli David Kafulila alipoteza ndoa yake na Jesca Kishoa kwa sababu ya maisha duni ya Kizalendo anayoishi kama tunavyoambiwa?


Comments ziwe fupifupi
Nikama naanza kumuelewa huyu jamaa polepole
 
Back
Top Bottom