Je, siku ya kwanza kutongoza/kutongozwa ilikuwaje?

Bado tunaendelea na Uzi wetu huu

Usisahau ku like, comment na kusubscribe kwenye channel yetu

ONYO: Usitumie neno "kimasihara" kwa usalama was Uzi wetu

Powered by @sawasandaita
 
Siku yangu ya kwanza kutongoza mwanamke aliyenizidi urefu.
Wakuu mitandao achaneni nayo siku
Moja nikaona pisi kali instagram nikazama DM nikamuomba namba nikasepa zangu baada ya muda nikakuta sms yake yenye namba za
Simu tu . Safari ikaanza nikampigia kama week tukazoeana ikafika kukutana sasa. Mzee tukakubaliana kukutana kasehemu akatuma text kafika na Mimi nikamwambia nimefika tukaanza kuviziana nani asimame mwenzake amuone wakuu akasimama bhana mnara wa babeli huu hapa nikajikaza wakuu nikaanza story nikamweleza kua nawish awe mpenzi wangu lakini hakunijibu kitu nilishtukia kiss la nguvu mdomoni wakuu nilihisi kama mbingu zimefunguka [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
😂😂😂mkuu kwaiyo we Ni mfupi kwake .
 
U made my day Injili ya Gheto
 
Umetishaa mzeee
 
Dah inabidi uzi uendelee.
Maana umejaa shuhuda hadi Raha hivyo ngoja na mimi niandae Riwaya yangu kuendeleza Uzi.
Ila all in all Uzi Uendelee...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…