Tuttie
JF-Expert Member
- Apr 29, 2020
- 1,263
- 1,304
kweli vile.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kweli vile.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
wakati huo ukipigwa chini unajiona kama umefanya jinaiKaribuni wana jukwaa tukumbushane tukio hili ambalo ni gumu kusahaulika kwenye maisha ya mtu. Pia, kuonyesha utofauti wa aina ya utongozaji wa zamani na sasa [emoji23][emoji23]
Dhumuni la uzi huu ni kufurahi pamoja na kuondoa mawazo yasiyo msingi.
Karibuni Sana[emoji120]
Kuna ile sijui kama wengine imewatokea, enzi hizo unakuta kuna demu unampenda hata kumtongoza hujawahi, ila ukimuona anatoka na mtu mwingine unaona demu amekusaliti. Unaumia kabisa unawambia mpaka rafiki zako wa karibu kua shemeji yenu kanisaliti [emoji23][emoji23][emoji23] basi kama nao ni madomo zege kama wewe mnaishia tu kula hip hop kujifariji kua nyie ni wagumu hamna time na mademu, kumbe ni sizitaki mbichi hizi.wakati huo ukipigwa chini unajiona kama umefanya jinai
Sasa hio barua si hadi iwe imetoka kwa mtu unayempenda?,, naona kama barua nyingi sana enzi hizo zimeleta majanga kwa sababu zilikua zinatumika kama clear evidence kabisa.[emoji28][emoji28]ilikuwa raha Sana unaringaa ukiandikiwa barua ukishasoma unaitunza ukumbusho .
Mkuu wa saivi hata kukonyeza hawajui.
Kufukuzana shule daaah masnitch walaaniwe kabisa mashuleniSasa hio barua si hadi iwe imetoka kwa mtu unayempenda?,, naona kama barua nyingi sana enzi hizo zimeleta majanga kwa sababu zilikua zinatumika kama clear evidence kabisa.
Mzee iliwahi nitokea kabisa pisi ya kuitwa clementina sita sahau story zikavuma najitapa ni pisi yangu na sijawahi mtongoza kabisa aisee akaja na wenzake muda wa break saa 4 niko na Wana tunakula mihogo kwa mchaga wakatuzunguka wakaanza kuniponda [emoji23][emoji23]wakuu nilikimbia break ya kwanza police barraks tangu siku iyo nikaacha kula kabisa break time mpaka na maliza shule aibu wazee.Kuna ile sijui kama wengine imewatokea, enzi hizo unakuta kuna demu unampenda hata kumtongoza hujawahi, ila ukimuona anatoka na mtu mwingine unaona demu amekusaliti. Unaumia kabisa unawambia mpaka rafiki zako wa karibu kua shemeji yenu kanisaliti [emoji23][emoji23][emoji23] basi kama nao ni madomo zege kama wewe mnaishia tu kula hip hop kujifariji kua nyie ni wagumu hamna time na mademu, kumbe ni sizitaki mbichi hizi.
mkuu acha tu vibarua vinaleta mambozi huna pakukatalia Yani .Sasa hio barua si hadi iwe imetoka kwa mtu unayempenda?,, naona kama barua nyingi sana enzi hizo zimeleta majanga kwa sababu zilikua zinatumika kama clear evidence kabisa.
barua yenyewe hupeleki mwenyewe kuna wale wana wakuangalia kama kweli umejaza page na umechora makopa vizurSasa hio barua si hadi iwe imetoka kwa mtu unayempenda?,, naona kama barua nyingi sana enzi hizo zimeleta majanga kwa sababu zilikua zinatumika kama clear evidence kabisa.
saa zingine zile barua zinakuwa kama bomu la kujitoa mhanga huwezi ponea ikishikwamkuu acha tu vibarua vinaleta mambozi huna pakukatalia Yani .
Kama unampenda pia lazima uitunze maana kabla hujampa jibu tayri unajuwa nimkubali au nimkatae.
😅😅😅halafu zile za kukamatwa zinakuwaga na maneno konkii Sana Yani ikikamatwa huna pakukwepa.saa zingine zile barua zinakuwa kama bomu la kujitoa mhanga huwezi ponea ikishikwa
😅inahakikiwa ndo iende sasa.barua yenyewe hupeleki mwenyewe kuna wale wana wakuangalia kama kweli umejaza page na umechora makopa vizur
eeh bana alafu zahma ikija unapata upo mwenyewe😀😀😅inahakikiwa ndo iende sasa.
😀 😀 😀 utakwepea wapi ndugu yangu😅😅😅halafu zile za kukamatwa zinakuwaga na maneno konkii Sana Yani ikikamatwa huna pakukwepa.
😅😅😅wajumbe wanakuwa pembeni wanakudere tu.eeh bana alafu zahma ikija unapata upo mwenyewe😀😀
kesi yako kengele inapigwa shule nzima inakuwa assembly point kupata onyo na kushuhudia adhabu yako😛😛😛😛😅😅😅wajumbe wanakuwa pembeni wanakudere tu.
[emoji3] Umenikumbusha kuna mwanangu mmoja yeye alikua na mwandiko mbaya sometime yeye mwenyewe anashindwa kusoma alichokiandika, naye domo lilikua lina gundi hivyo alikua anatumia sana barua... Akitaka tu kunandika barua anaandaa coin (mia 2 hivi) anaandikiwa na jamaa fulan hv alikua na mwandiko mzjri sana.. [emoji3][emoji3] bahati mbaya sana demu mwenyewe akawa hamuelewi.barua yenyewe hupeleki mwenyewe kuna wale wana wakuangalia kama kweli umejaza page na umechora makopa vizur
Hio noma sana mkuu, huyo demu vipi, mbali na kusoma shule moja vp mlikua darasa 1 auMzee iliwahi nitokea kabisa pisi ya kuitwa clementina sita sahau story zikavuma najitapa ni pisi yangu na sijawahi mtongoza kabisa aisee akaja na wenzake muda wa break saa 4 niko na Wana tunakula mihogo kwa mchaga wakatuzunguka wakaanza kuniponda [emoji23][emoji23]wakuu nilikimbia break ya kwanza police barraks tangu siku iyo nikaacha kula kabisa break time mpaka na maliza shule aibu wazee.
[emoji3] Umenikumbusha kuna mwanangu mmoja yeye alikua na mwandiko mbaya sometime yeye mwenyewe anashindwa kusoma alichokiandika, naye domo lilikua lina gundi hivyo alikua anatumia sana barua... Akitaka tu kunandika barua anaandaa coin (mia 2 hivi) anaandikiwa na jamaa fulan hv alikua na mwandiko mzjri sana.. [emoji3][emoji3] bahati mbaya sana demu mwenyewe akawa hamuelewi.
[/QU
barua haifai lazima demu akuchome ili yeye aonekane mwema 😀 😀 😀
Yani pamoja na udomo zege wangu enzi hizo barua nilikua naziogopa sana maana ilikua kama ku bet, ikienda halafu ikute mwanamke akutaki basi jiandae kuchezea fimbo shuleni .. Mpaka home + ushauri wa wazazi na walimu [emoji28].mkuu acha tu vibarua vinaleta mambozi huna pakukatalia Yani .
Kama unampenda pia lazima uitunze maana kabla hujampa jibu tayri unajuwa nimkubali au nimkatae.
unaweza omba uhamisho mkuu ukipigwa chini ni msala sana wakati uleHio noma sana mkuu, huyo demu vipi, mbali na kusoma shule moja vp mlikua darasa 1 au