Je, Simba ikiongozwa na Gomes imeshafungwa na timu yoyote ya Tanzania?

HPAUL

JF-Expert Member
Joined
Jan 18, 2011
Posts
410
Reaction score
567
Nafahamu ya kwamba Simba ikiongozwa na Gomes imepoteza mechi 2 za kimataifa ugenini, Al Ahly (Misri) na Kaizer Chiefs (Afrika ya Kusini) lakini sina uhakika kwa mashindano ya nyumbani kama imewahi kupoteza mchezo wowote, mwenye taarifa zaidi anijuze.
 
Hajafungwa na timu yeyote ya Tanzania na hajafungwa na timu yeyote ya nchi kwa game ya hapa Tanzania
 
Nasikia nje ya uwanja walifungwa na utopolo wakaamua kuwatumia Tiefu efu kupeleka mechi mbele 🤣
 
Kaizer Chiefs walitusaidia kuwaandaa kibra! Wananchi tutakuja kuwachinja rasmi na huyo Gomez wenu, hiyo tarehe 3 Julai.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…