Je, sisi kama taifa tunakosea wapi kuelekea nchi ya kiviwanda na uwekezaji?

Je, sisi kama taifa tunakosea wapi kuelekea nchi ya kiviwanda na uwekezaji?

ASIWAJU

JF-Expert Member
Joined
Nov 18, 2022
Posts
1,938
Reaction score
1,632
Ningependa kuwa karibisha wadau wote wa Jamiiforum watao penda kushiriki katika mjadala huu wenye swali liulizalo.

Je sisi kama taifa tuna kosea wapi katika wizara ya nishati kuelekea katika nchi ya kiviwanda na uwekezaji ?

Katika mjadala huu ningependa kutoa mfano utakao tupa mwangaza kidogo katika hilo swali tuta kalo lijadili.

Mfano una husisha ulinganifu wa taifa la kiviwanda na uwekezaji duniani, taifa la China na taifa letu la Tanzania katika swala la nishati. Mfano :-

Kwa mwaka wa 2021 taifa la China lime tengeneza zaidi ya megga watt billion nane na million mia tano [ 8, 500, 000, 000 + ] huku taifa letu la Tanzania likiwa limetengeneza zaidi ya megga watt elfu moja na mia sita [ 1, 600 + ].

Je sisi kama taifa tuna kosea wapi katika wizara yetu ya nishati kuelekea nchi ya kiviwanda na uwekezaji ukilinganisha na namna wenzetu wanavyo fanya katika wizara zao za nishati katika ustawi bora wa kiviwanda na uwekezaji .

Karibuni nyote.
 
Ningependa kuwa karibisha wadau wote wa Jamiiforum watao penda kushiriki katika mjadala huu wenye swali liulizalo.

Je sisi kama taifa tuna kosea wapi katika wizara ya nishati kuelekea katika nchi ya kiviwanda na uwekezaji ?

Katika mjadala huu ningependa kutoa mfano utakao tupa mwangaza kidogo katika hilo swali tuta kalo lijadili.

Mfano una husisha ulinganifu wa taifa la kiviwanda na uwekezaji duniani, taifa la China na taifa letu la Tanzania katika swala la nishati. Mfano :-

Kwa mwaka wa 2021 taifa la China lime tengeneza zaidi ya megga watt billion nane na million mia tano [ 8, 500, 000, 000 + ] huku taifa letu la Tanzania likiwa limetengeneza zaidi ya megga watt elfu moja na mia sita [ 1, 600 + ].

Je sisi kama taifa tuna kosea wapi katika wizara yetu ya nishati kuelekea nchi ya kiviwanda na uwekezaji ukilinganisha na namna wenzetu wanavyo fanya katika wizara zao za nishati katika ustawi bora wa kiviwanda na uwekezaji .

Karibuni nyote.
Wewe tulikuacha Msoga stesheni, hatuelekei mbona mama alikwisha tufikisha huko siku nyingi, hivi sasa maviwanda kila sehemu.
 
Wewe tulikuacha Msoga stesheni, hatuelekei mbona mama alikwisha tufikisha huko siku nyingi, hivi sasa maviwanda kila sehemu.
Sijapata kuelewa ni kipi hasa una maanisha, unapaswa kuiwekea sentensi yako katika ustadi mzuri zaidi wa kueleweka na jamii nzima. Karibu tena kwa ufafanuzi wako uliobora.
 
Kabla ya kuwaza kuwa nchi ya viwanda ni lazima tuwe na mapinduzi ya kilimo. sasa kama hadi leo kilimo ni jembe la mkono bado tutatkuwa nyuma.
 
Wizara ya Nishati inahujumiwa na wahuni ili wauze jenereta
 
Kabla ya kuwaza kuwa nchi ya viwanda ni lazima tuwe na mapinduzi ya kilimo. sasa kama hadi leo kilimo ni jembe la mkono bado tutatkuwa nyuma.
Kwa hiyo tuna safari ndefu sana kufika katika mapinduzi makubwa ya kiviwanda?

Vipi kuhusu sera na usimamizi wa wizara yetu ya nishati kuelekea katika hayo mapinduzi makubwa ya kiviwanda ?
 
Wizara ya Nishati inahujumiwa na wahuni ili wauze jenereta
Ki vipi ina hujumiwa ? Au ni imeshindwa kubadilika kwa kasi ya sasa ya kidunia katika ukuaji ulio bora ?
 
Tunapokosea ni kutokuwa na mipango endelevu iliyo sanifiwa kwa ufasaha. Kwa Mfano wakati wa JK alituacha na mpango wa kuzalisha umeme wa gas. Baada ya kusubiri umeme wa kudra za Mungu wa mvua mwelekeo ukawa ni kuzalisha umeme kwa natural gas. Mipango ikaanza na mikataba ikafanyika.

Awamu iliyofuata ikafuta hiyo mipango ikaja na mpango wa ujenzi wa bwawa kubwa la umeme kwa njia ya maji. Pamoja na ukosoaji wa mpango huo lakini awamu ile haikusikia.

Baada ya awamu ile kupita tunarudi yena kwenye majenereta ya gas..ku expand kinyerezi project.

Pamoja na hayo ili uwe na viwanda unahitaji mambo yafuatayo:
1. Nishati ya uhakika.
2. Logistic network nzuri. Kikwete alituacha na mradi wa Bagamoyo ambao ulikuwa na malengo ya kuanzia viwanda 400 katika eneo maalumu la EPZA. It is not feasible mtu anzishe kiwanda kisarawe gharama za usafirishaji wa malighafi na final products..ile pakia shusha pakia.zinakuwa kubwa. Ndo maana ule mradi wa bagamoyo ulibuniwa. Lakini alikuja mtu akaona ni wizi akautupilia mbali.
3. Unahitaji manpower yenye ujuzi.
4. Na mwisho, Unahitaji kuwa na uhusiano mzuri wa kidiplomasia. Kwa sababu bidhaa unazozalisha zitaenda kwenye nchi nyingine.
 
Kwa hiyo tuna safari ndefu sana kufika katika mapinduzi makubwa ya kiviwanda?

Vipi kuhusu sera na usimamizi wa wizara yetu ya nishati kuelekea katika hayo mapinduzi makubwa ya kiviwanda ?
Kwa upande wa wizara ya nishati ndio kigingi namba mbili kuelekea uchumi wa viwanda
 
Ningependa kuwa karibisha wadau wote wa Jamiiforum watao penda kushiriki katika mjadala huu wenye swali liulizalo.

Je sisi kama taifa tuna kosea wapi katika wizara ya nishati kuelekea katika nchi ya kiviwanda na uwekezaji ?

Katika mjadala huu ningependa kutoa mfano utakao tupa mwangaza kidogo katika hilo swali tuta kalo lijadili.

Mfano una husisha ulinganifu wa taifa la kiviwanda na uwekezaji duniani, taifa la China na taifa letu la Tanzania katika swala la nishati. Mfano :-

Kwa mwaka wa 2021 taifa la China lime tengeneza zaidi ya megga watt billion nane na million mia tano [ 8, 500, 000, 000 + ] huku taifa letu la Tanzania likiwa limetengeneza zaidi ya megga watt elfu moja na mia sita [ 1, 600 + ].

Je sisi kama taifa tuna kosea wapi katika wizara yetu ya nishati kuelekea nchi ya kiviwanda na uwekezaji ukilinganisha na namna wenzetu wanavyo fanya katika wizara zao za nishati katika ustawi bora wa kiviwanda na uwekezaji .

Karibuni nyote.
Asilimia 60 ya Viongozi wa Nchi hii HAWANA UWEZO wa UONGOZI Unatarajia nini Wastaafu wa Kushauri ndio hawa Kina Mzee Makamba
 
Tunapokosea ni kutokuwa na mipango endelevu iliyo sanifiwa kwa ufasaha. Kwa Mfano wakati wa JK alituacha na mpango wa kuzalisha umeme wa gas. Baada ya kusubiri umeme wa kudra za Mungu wa mvua mwelekeo ukawa ni kuzalisha umeme kwa natural gas. Mipango ikaanza na mikataba ikafanyika.

Awamu iliyofuata ikafuta hiyo mipango ikaja na mpango wa ujenzi wa bwawa kubwa la umeme kwa njia ya maji. Pamoja na ukosoaji wa mpango huo lakini awamu ile haikusikia.

Baada ya awamu ile kupita tunarudi yena kwenye majenereta ya gas..ku expand kinyerezi project.

Pamoja na hayo ili uwe na viwanda unahitaji mambo yafuatayo:
1. Nishati ya uhakika.
2. Logistic network nzuri. Kikwete alituacha na mradi wa Bagamoyo ambao ulikuwa na malengo ya kuanzia viwanda 400 katika eneo maalumu la EPZA. It is not feasible mtu anzishe kiwanda kisarawe gharama za usafirishaji wa malighafi na final products..ile pakia shusha pakia.zinakuwa kubwa. Ndo maana ule mradi wa bagamoyo ulibuniwa. Lakini alikuja mtu akaona ni wizi akautupilia mbali.
3. Unahitaji manpower yenye ujuzi.
4. Na mwisho, Unahitaji kuwa na uhusiano mzuri wa kidiplomasia. Kwa sababu bidhaa unazozalisha zitaenda kwenye nchi nyingine.
Asante kwa mchango wako mdau.
 
Kwa upande wa wizara ya nishati ndio kigingi namba mbili kuelekea uchumi wa viwanda
Tuna hitaji kujiza titi kwenye wizara ya nishati kama kweli tuna uhitaji uchumi wa viwanda hapa nchini, hii ni wizara ambayo serikali inapaswa kuweka nguvu kubwa haswa kwa kuiendesha kiustadi wa hali ya juu ili iweze kuleta manufaa kuelekea uchumi wa viwanda.
 
Asilimia 60 ya Viongozi wa Nchi hii HAWANA UWEZO wa UONGOZI Unatarajia nini Wastaafu wa Kushauri ndio hawa Kina Mzee Makamba
Tuna safari ndefu sana ya kuandaa viongozi bora wa taifa hili, kuliko nguvu kubwa tunayo tumia kuandaa wanasiasa bora.
 
Ningependa kuwa karibisha wadau wote wa Jamiiforum watao penda kushiriki katika mjadala huu wenye swali liulizalo.

Je sisi kama taifa tuna kosea wapi katika wizara ya nishati kuelekea katika nchi ya kiviwanda na uwekezaji ?

Katika mjadala huu ningependa kutoa mfano utakao tupa mwangaza kidogo katika hilo swali tuta kalo lijadili.

Mfano una husisha ulinganifu wa taifa la kiviwanda na uwekezaji duniani, taifa la China na taifa letu la Tanzania katika swala la nishati. Mfano :-

Kwa mwaka wa 2021 taifa la China lime tengeneza zaidi ya megga watt billion nane na million mia tano [ 8, 500, 000, 000 + ] huku taifa letu la Tanzania likiwa limetengeneza zaidi ya megga watt elfu moja na mia sita [ 1, 600 + ].

Je sisi kama taifa tuna kosea wapi katika wizara yetu ya nishati kuelekea nchi ya kiviwanda na uwekezaji ukilinganisha na namna wenzetu wanavyo fanya katika wizara zao za nishati katika ustawi bora wa kiviwanda na uwekezaji .

Karibuni nyote.
Hivi vile viwanda 3000+ vya enzi Ile vimeenda wapi?
 
Hivi vile viwanda 3000+ vya enzi Ile vimeenda wapi?
Nadhani serikali ili amishia nguvu katika nishati ziadi ili iweze kuhodhi hivyo viwanda 3000+ , maana bila nishati kubwa ya uwakika jambo hilo ni sawa na kutwanga maji kwenye kinu.
 
Taifa halijakosea, sema CCM waliotawala miaka 61 ndiyo wamekosea.
 
Taifa halijakosea, sema CCM waliotawala miaka 61 ndiyo wamekosea.
Ni jambo ambalo serikali chini ya chama cha mapinduzi wanapaswa kujitafari kama kweli wapo makini katika mapinduzi ya uchumi wa kiviwanda.
 
Back
Top Bottom