ASIWAJU
JF-Expert Member
- Nov 18, 2022
- 1,938
- 1,632
Ningependa kuwa karibisha wadau wote wa Jamiiforum watao penda kushiriki katika mjadala huu wenye swali liulizalo.
Je sisi kama taifa tuna kosea wapi katika wizara ya nishati kuelekea katika nchi ya kiviwanda na uwekezaji ?
Katika mjadala huu ningependa kutoa mfano utakao tupa mwangaza kidogo katika hilo swali tuta kalo lijadili.
Mfano una husisha ulinganifu wa taifa la kiviwanda na uwekezaji duniani, taifa la China na taifa letu la Tanzania katika swala la nishati. Mfano :-
Kwa mwaka wa 2021 taifa la China lime tengeneza zaidi ya megga watt billion nane na million mia tano [ 8, 500, 000, 000 + ] huku taifa letu la Tanzania likiwa limetengeneza zaidi ya megga watt elfu moja na mia sita [ 1, 600 + ].
Je sisi kama taifa tuna kosea wapi katika wizara yetu ya nishati kuelekea nchi ya kiviwanda na uwekezaji ukilinganisha na namna wenzetu wanavyo fanya katika wizara zao za nishati katika ustawi bora wa kiviwanda na uwekezaji .
Karibuni nyote.
Je sisi kama taifa tuna kosea wapi katika wizara ya nishati kuelekea katika nchi ya kiviwanda na uwekezaji ?
Katika mjadala huu ningependa kutoa mfano utakao tupa mwangaza kidogo katika hilo swali tuta kalo lijadili.
Mfano una husisha ulinganifu wa taifa la kiviwanda na uwekezaji duniani, taifa la China na taifa letu la Tanzania katika swala la nishati. Mfano :-
Kwa mwaka wa 2021 taifa la China lime tengeneza zaidi ya megga watt billion nane na million mia tano [ 8, 500, 000, 000 + ] huku taifa letu la Tanzania likiwa limetengeneza zaidi ya megga watt elfu moja na mia sita [ 1, 600 + ].
Je sisi kama taifa tuna kosea wapi katika wizara yetu ya nishati kuelekea nchi ya kiviwanda na uwekezaji ukilinganisha na namna wenzetu wanavyo fanya katika wizara zao za nishati katika ustawi bora wa kiviwanda na uwekezaji .
Karibuni nyote.