Mudugu
Senior Member
- Mar 17, 2018
- 141
- 135
Wana jf wenzangu naomba mnisaidie kwa hili maana nimekaa nikijiuliza sana bila kupata jibu hivi kweli soko la hela za kizamani lipo au ni utapeli tu?
Maana hii habari nimeisikia kitambo sana kuwa hela za kale ambazo zimo kwenye list yakutafutwa ukiipata na ukaipeleka sokoni tayali utakuwa umetajilika na huku kwetu wapo wanaojituma kuzisaka hizo hela lakini bado sijaona hata mmoja amefanikiwa
Je nikweli? Au magumashi tu.
Maana tangiepo niisikie hii habari bado sija shuhudia ambae ametajirika kupitia hizo hela.
Kuna rafiki yangu ananishawishi nijiingize katika utafutaji wa hizo hela.
Lakini akilini hainiingii hata kidogo.
Je, niko sahihi au nakwepa utajiri?
Maana hii habari nimeisikia kitambo sana kuwa hela za kale ambazo zimo kwenye list yakutafutwa ukiipata na ukaipeleka sokoni tayali utakuwa umetajilika na huku kwetu wapo wanaojituma kuzisaka hizo hela lakini bado sijaona hata mmoja amefanikiwa
Je nikweli? Au magumashi tu.
Maana tangiepo niisikie hii habari bado sija shuhudia ambae ametajirika kupitia hizo hela.
Kuna rafiki yangu ananishawishi nijiingize katika utafutaji wa hizo hela.
Lakini akilini hainiingii hata kidogo.
Je, niko sahihi au nakwepa utajiri?