Je System imeamua kumu expose Samia?

Je System imeamua kumu expose Samia?

Lord denning

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2015
Posts
15,819
Reaction score
33,255
Kwa yanayoendelea kuhusu kutajwa moja kwa moja mtoto wa Rais kuhonga wanasiasa wanaoonekana kuleta ushindani kisiasa dhidi ya Rais (Mama yake) swali kuu tunalopaswa kujiuliza ni;

Je System imeamua kumu expose Samia?

Je System imemchoka Samia?

Niliwahi kusikia huko nyuma kuwa System ina njia nyingi sana za kufanya kazi:

Kwanza wanaweza kukuletea taarifa na ushauri tu! Endapo wakiona husikilizi ushauri watatumia watu wako wa karibu kukushauri! Na endapo utazidi kukaza shingo basi wata ku expose ili umma ujue mambo yako na uwe kwenye wakati mgumu.

Kwa wanaoangalia siasa kwa jicho la kawaida hawawezi ona maana halisi ya mabishano ya Lissu na Wenje huku akitajwa moja kwa moja mtoto wa Rais.

Kwa tunaoangalia siasa kwa macho yote ya ndani na nje hii ni alert kubwa sana kwa Samia maana inaonekana sasa ameanza kuchokwa na dola.

Sio hivyo tu ni ishara kuwa hata CCM wameanza kuchokwa na dola.


Tuzidi kuomba haya yazidi kuendelea maana kupitia haya inawezekana Tanzania ikaja kupata ukombozi wa kweli.
 
Hakuna system yoyote inayomu expose, mfumo dhaifu wa utendaji haki na wenye urasimu wa kiutendaji ndio umeleta hili zogo lote.

Alichokifanya wenje ndicho ambacho wengi huwa wanafanya kama kumuomba Makonda na wengine wasaidie kutatua matatizo yao.
 
Mimi ni kijana wa miaka 23 natafuta girlfriend (19-21) awe mwembamba akiwa na English body itakua sifa ya nyongeza urefu wangu ni 120cm sikumbuki vizuri, asiwe mfupi rangi yake sijali kikubwa awe na mvuto hasa akitabasamu.

Awe muongeaji ila sio mbea, awe anasuka ila sio kuweka wigi pia awe na upendo wa dhati na kuheshimu, sijali dini wala level ya elimu, mkoa wowote
Sio jukwaa late hili mzee
 
Kwanza hiyo system haimtaki Toka aliporithi.system ilitaka kupindisha katiba ili huyu asirithi maana mafaili yake yalionesha huyu hakuna kitu hadi jeshi wakatishia kuichukua Nchi Kwa mtutu ndiyo ponapona yake.Kwa yanayotokea Kwa Sasa nchini kwetu inaonesha kabisa system waliona mbali mita 200 na walikuwa sahihi 100%
 
Kwa yanayoendelea kuhusu kutajwa moja kwa moja mtoto wa Rais kuhonga wanasiasa wanaoonekana kuleta ushindani kisiasa dhidi ya Rais (Mama yake) swali kuu tunalopaswa kujiuliza ni;

Je System imeamua kumu expose Samia?

Je System imemchoka Samia?

Niliwahi kusikia huko nyuma kuwa System ina njia nyingi sana za kufanya kazi:

Kwanza wanaweza kukuletea taarifa na ushauri tu! Endapo wakiona husikilizi ushauri watatumia watu wako wa karibu kukushauri! Na endapo utazidi kukaza shingo basi wata ku expose ili umma ujue mambo yako na uwe kwenye wakati mgumu.

Kwa wanaoangalia siasa kwa jicho la kawaida hawawezi ona maana halisi ya mabishano ya Lissu na Wenje huku akitajwa moja kwa moja mtoto wa Rais.

Kwa tunaoangalia siasa kwa macho yote ya ndani na nje hii ni alert kubwa sana kwa Samia maana inaonekana sasa ameanza kuchokwa na dola.

Sio hivyo tu ni ishara kuwa hata CCM wameanza kuchokwa na dola.


Tuzidi kuomba haya yazidi kuendelea maana kupitia haya inawezekana Tanzania ikaja kupata ukombozi wa kweli.
Nini hiki umeandika.
 
Kwa yanayoendelea kuhusu kutajwa moja kwa moja mtoto wa Rais kuhonga wanasiasa wanaoonekana kuleta ushindani kisiasa dhidi ya Rais (Mama yake) swali kuu tunalopaswa kujiuliza ni;

Je System imeamua kumu expose Samia?

Je System imemchoka Samia?

Niliwahi kusikia huko nyuma kuwa System ina njia nyingi sana za kufanya kazi:

Kwanza wanaweza kukuletea taarifa na ushauri tu! Endapo wakiona husikilizi ushauri watatumia watu wako wa karibu kukushauri! Na endapo utazidi kukaza shingo basi wata ku expose ili umma ujue mambo yako na uwe kwenye wakati mgumu.

Kwa wanaoangalia siasa kwa jicho la kawaida hawawezi ona maana halisi ya mabishano ya Lissu na Wenje huku akitajwa moja kwa moja mtoto wa Rais.

Kwa tunaoangalia siasa kwa macho yote ya ndani na nje hii ni alert kubwa sana kwa Samia maana inaonekana sasa ameanza kuchokwa na dola.

Sio hivyo tu ni ishara kuwa hata CCM wameanza kuchokwa na dola.


Tuzidi kuomba haya yazidi kuendelea maana kupitia haya inawezekana Tanzania ikaja kupata ukombozi wa kweli.
Mbona hiyo system inakuwa overrated sana wakuu?? Shida ni nini?? Mbona hao watu wa kwenye system ni watu wa kawaida sana..
 
Hakuna system yoyote inayomu expose, mfumo dhaifu wa utendaji haki na wenye urasimu wa kiutendaji ndio umeleta hili zogo lote.

Alichokifanya wenje ndicho ambacho wengi huwa wanafanya kumuomba Makonda na wengine wasaidie kutatua matatizo yao.
Wewe Wenje naona tangu jana unajijitea kwa mpaka kufikia hatua ya kuanzisha thread za kijinga kabisa. Muda wote uliokaa kimya ndiyo ulikuwa unatunga huu uongo? Umejiaibisha mno. Umekutana na mtoto wa rais ambaye ulikuwa humjua na siku hiyo hiyo unamuuliza eti kwa nini serikali ya mama yake haitaki kumlipa fulani? Bora ungeendelea kukaa kimya kwa sababu unazidi kuvuta attention ya watanzania ambao walikuwa wameshaanza kusau.
 
Wewe Wenje naona tangu jana unajijitea kwa mpaka kufikia hatua ya kuanzisha thread za kijinga kabisa. Muda wote uliokaa kimya ndiyo ulikuwa unatunga huu uongo? Umejiaibisha mno. Umekutana na mtoto wa rais ambaye ulikuwa humjua na siku hiyo hiyo unamuuliza eti kwa nini serikali ya mama yake haitaki kumlipa fulani? Bora ungeendelea kukaa kimya kwa sababu unazidi kuvuta attention ya watanzania ambao walikuwa wameshaanza kusau.
Bora umenisanua. Nimeshangaa sana upuuzi anaouandika humu.

Kweli Rushwa ni kansa! Hii nchi hatuwezi kwenda mbele bila kumtokomeza huyu mdudu Rushwa
 
Kwa yanayoendelea kuhusu kutajwa moja kwa moja mtoto wa Rais kuhonga wanasiasa wanaoonekana kuleta ushindani kisiasa dhidi ya Rais (Mama yake) swali kuu tunalopaswa kujiuliza ni;

Je System imeamua kumu expose Samia?

Je System imemchoka Samia?

Niliwahi kusikia huko nyuma kuwa System ina njia nyingi sana za kufanya kazi:

Kwanza wanaweza kukuletea taarifa na ushauri tu! Endapo wakiona husikilizi ushauri watatumia watu wako wa karibu kukushauri! Na endapo utazidi kukaza shingo basi wata ku expose ili umma ujue mambo yako na uwe kwenye wakati mgumu.

Kwa wanaoangalia siasa kwa jicho la kawaida hawawezi ona maana halisi ya mabishano ya Lissu na Wenje huku akitajwa moja kwa moja mtoto wa Rais.

Kwa tunaoangalia siasa kwa macho yote ya ndani na nje hii ni alert kubwa sana kwa Samia maana inaonekana sasa ameanza kuchokwa na dola.

Sio hivyo tu ni ishara kuwa hata CCM wameanza kuchokwa na dola.


Tuzidi kuomba haya yazidi kuendelea maana kupitia haya inawezekana Tanzania ikaja kupata ukombozi wa kweli.
My thoughts as well, hili la huyu dogo Abdul kuhusishwa moja kwa moja kwenye utoaji rushwa ni kumuhusisha mama yake, ikikubalika kuwa ile ni rushwa basi mtoa rushwa ni mama Abdul huku Abdul akiwa messenger wa kukabidhi hiyo rushwa.
Rais mtoa rushwa should be a topic on it's own.
 
My thoughts as well, hili la huyu dogo Abdul kuhusishwa moja kwa moja kwenye utoaji rushwa ni kumuhusisha mama yake, ikikubalika kuwa ile ni rushwa basi mtoa rushwa ni mama Abdul huku Abdul akiwa messenger wa kukabidhi hiyo rushwa.
Rais mtoa rushwa should be a topic on it's own.
Una akili sana. Ni watanzania wachache sana wenye upeo kama wako.
 
Kwanza hiyo system haimtaki Toka aliporithi.system ilitaka kupindisha katiba ili huyu asirithi maana mafaili yake yalionesha huyu hakuna kitu hadi jeshi wakatishia kuichukua Nchi Kwa mtutu ndiyo ponapona yake.Kwa yanayotokea Kwa Sasa nchini kwetu inaonesha kabisa system waliona mbali mita 200 na walikuwa sahihi 100%
Ila anaenda tu, na umri ukiwepo atafika 2030, na mkizubaa anafika 2035 hukoo, endeleeni kutamani
 
Back
Top Bottom