lady mmarangu
JF-Expert Member
- Dec 7, 2015
- 306
- 166
Hivi jamani wana JF, tabia za mtu mwwnye kisukari ni zipi? Maana kuna tabia mume wangu anazo kwa kweli zinanichosha sana.
Kuongea kwa upole kwake ni issue, kitu kidogo anakufokea then anazira hapahapo na kujitenga kama vile mimi ndo mwenye makosa! Je mwanume akiwa hana uwezo wa kushirikiana na mkewe anakuwa yuko sawa kisaikolojia?
Kuongea kwa upole kwake ni issue, kitu kidogo anakufokea then anazira hapahapo na kujitenga kama vile mimi ndo mwenye makosa! Je mwanume akiwa hana uwezo wa kushirikiana na mkewe anakuwa yuko sawa kisaikolojia?