GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Kuna nchi (taifa) moja Barani Afrika katika Mahafali yake ya Kijeshi Jumamosi hii pia watakuwepo 'Makomadoo' zaidi ya 3000.
Nijuavyo Kiuchumi kuwatunza hawa ni Gharama Kubwa mno je, kwa Umasikini mkubwa wa hiyo nchi kuna haja ya kuwa nao Wengi kiasi hicho?
Bahati mbaya na nchi yenyewe nimeshaisahau ila siyo Rwanda kwani haina Upuuzi huo wa Kuharibu Uchumi wake.
Nijuavyo Kiuchumi kuwatunza hawa ni Gharama Kubwa mno je, kwa Umasikini mkubwa wa hiyo nchi kuna haja ya kuwa nao Wengi kiasi hicho?
Bahati mbaya na nchi yenyewe nimeshaisahau ila siyo Rwanda kwani haina Upuuzi huo wa Kuharibu Uchumi wake.