Je Tanzania bado iko uchumi wa kati wa chini au imeshapanda zaidi kiuchumi?

Je Tanzania bado iko uchumi wa kati wa chini au imeshapanda zaidi kiuchumi?

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
76,107
Reaction score
160,001
Tanzania ilipo panda kwenye viwango vya kiuchumi, watu wote tulifurahi sana, tulitunga nyimbo na mashairi shatashata.

Tangu mama ameingia amekuwa akiupiga mwingi sana, pia kwa kuongeza Kodi kwenye mafuta na tozo kwenye miamala ya simu nadhani atakuwa ameboresha sana mfuko wetu wa hazina.

Pia naimani kwamba tunaendelea vizuri sana na exportation za dhahabu, Almasi, tanzanite, korosho, pamba, kahawa, chai etc

Ndugu wajuzi, naomba mnijulishe status ya Taifa letu kiuchumi kwa sasa
 
Tanzania ilipo panda kwenye viwango vya kiuchumi, watu wote tulifurahi sana, tulitunga nyimbo na mashairi shatashata.

Tangu mama ameingia amekuwa akiupiga mwingi sana, pia kwa kuongeza Kodi kwenye mafuta na tozo kwenye miamala ya simu nadhani atakuwa ameboresha sana mfuko wetu wa hazina.

Pia naimani kwamba tunaendelea vizuri sana na exportation za dhahabu, Almasi, tanzanite, korosho, pamba, kahawa, chai etc

Ndugu wajuzi, naomba mnijulishe status ya Taifa letu kiuchumi kwa sasa
Shikiria hapo hapo mura uriposhikiria

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Tanzania ilipo panda kwenye viwango vya kiuchumi, watu wote tulifurahi sana, tulitunga nyimbo na mashairi shatashata.

Tangu mama ameingia amekuwa akiupiga mwingi sana, pia kwa kuongeza Kodi kwenye mafuta na tozo kwenye miamala ya simu nadhani atakuwa ameboresha sana mfuko wetu wa hazina.

Pia naimani kwamba tunaendelea vizuri sana na exportation za dhahabu, Almasi, tanzanite, korosho, pamba, kahawa, chai etc

Ndugu wajuzi, naomba mnijulishe status ya Taifa letu kiuchumi kwa sasa
Tupo G20 mkuu

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Mkubwa tafuta pesa uweze kutoa tozo. Ukifuatilia sana hizi sarakasi unaweza kuambiwa kesho jua litachomoza magharibi na kuzama mashariki. Itabidi ukubali tu.

Mambo yalikua ni "ndio mzee"
Si waseme tu, Kama tumesha rejesha mpira kwa kipa
 
Tanzania ilipo panda kwenye viwango vya kiuchumi, watu wote tulifurahi sana, tulitunga nyimbo na mashairi shatashata.

Tangu mama ameingia amekuwa akiupiga mwingi sana, pia kwa kuongeza Kodi kwenye mafuta na tozo kwenye miamala ya simu nadhani atakuwa ameboresha sana mfuko wetu wa hazina.

Pia naimani kwamba tunaendelea vizuri sana na exportation za dhahabu, Almasi, tanzanite, korosho, pamba, kahawa, chai etc

Ndugu wajuzi, naomba mnijulishe status ya Taifa letu kiuchumi kwa sasa
Bujibuji una nn lakini? Ngoja tumalize kesi ya Mbowe ndipo tuwaulize
 
Hatari sana. Nchi hobelahobela hii.

 
Tuko uchumi mpwito mpwito Mkuu. Huu ni uchumi wa chini sana kule nyayoni.
Tanzania ilipo panda kwenye viwango vya kiuchumi, watu wote tulifurahi sana, tulitunga nyimbo na mashairi shatashata.

Tangu mama ameingia amekuwa akiupiga mwingi sana, pia kwa kuongeza Kodi kwenye mafuta na tozo kwenye miamala ya simu nadhani atakuwa ameboresha sana mfuko wetu wa hazina.

Pia naimani kwamba tunaendelea vizuri sana na exportation za dhahabu, Almasi, tanzanite, korosho, pamba, kahawa, chai etc

Ndugu wajuzi, naomba mnijulishe status ya Taifa letu kiuchumi kwa sasa
 
Tufafanuliane vizuri humu. Kuna madaraja mangapi ya uchumi. Huu tulio tangaziwa ni uchumi wa kati au chini kati au kati chini au nini? Maana naona kama kuna watu wanaficha ukweli kutaja tu wa kati, kumbe bado tupo chini lakini chini ya kati! Ni sahihishwe tafadhali!
 
Tuko uchumi mpwito mpwito Mkuu. Huu ni uchumi wa chini sana kule nyayoni.
Tunawezaje kukuza uchumi wakati exports na tourism vimekufa?
Viwanda hatuna na watu wameshakata tamaa ya maisha, wanadhani watatoboa kwa kubet na biko?
 
Tufafanuliane vizuri humu. Kuna madaraja mangapi ya uchumi. Huu tulio tangaziwa ni uchumi wa kati au chini kati au kati chini au nini? Maana naona kama kuna watu wanaficha ukweli kutaja tu wa kati, kumbe bado tupo chini lakini chini ya kati! Ni sahihishwe tafadhali!
CCM wanadanganywa Tanzania iko uchumi wa kati
 
Back
Top Bottom