Mkuu mi nakipaji naomba hicho kichwa chako nikakifanyie majaribio,
Anyway... Hapo unalaumu madaktari, wamefanya kazi nzuri sana lakini huduma za afya uwekezaji wake si wa mchezo, daktari hata akisoma vizuri na wapo wengi wamesoma vizuri sana lakini uwezo wa hospital zetu ni mdogo sana inabidi watu wapelekwe india , kule watu wanafuata uwekezaji mzuri, hapa kwetu mishahara ya madoctor ni duni sana mtu kasoma 6 yrs akasome tena 5 or 4 years kwenye specialization na bado kipatomchake hakiongezeki hat mara mbili ya alichokuwa anapata awali ,hapo tutakuwa tunataniana, kiufupi serikali yetu uwekezaji umbusha mdogo sana na.ndio sababu mapaka sasa vipimo kama ct scan au MRI ni vichache sana, mkuu usiwakosee madaktari heshima , wanajitahidi sana , wanafanya kazi nzuri sana na hao hao ndio wanaona sasa kutokana na ukosefu wa vifaa wanaamua kuidhinisha mgonjwa huyo aende india, mkuu kwa sasa huduma muhimbili zimeboreshwa kidogo kwa hiyo wagonjwa watapungua sana kwenda india.
Mwishowe nakukumbusha kuwa nahitaji hicho kichwa chako nikifanyie majaribio, nataka niondoe ubongo wako niweke wa sungura pengine utaweza kuwa na akili za kijanja kama sungura