Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
tumeuwa shule za vipaji tumeanzisha za katanaomba kuuliza kama bado tanzania kuna special schools kama miakaya tisini akina mzumbe,kibaha na tofauti zao na shule za kata
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tumeuwa shule za vipaji tumeanzisha za katanaomba kuuliza kama bado tanzania kuna special schools kama miakaya tisini akina mzumbe,kibaha na tofauti zao na shule za kata
Kuna kipaji Bongo kila siku wagonjwa wanaenda kufanyiwa Operesheni India hivo vipaji gani tulivyo navyo? labda mngespecify kuwa shule za watoto wenye vipaji vya kujibu mitihani vizuri sio kugeneralize tu kuwa za vipaji.
Elimu ya Bongo anayejiita mwenye kipaji na asiye na kipaji wote ni CREATURES TU na wala sio CREATORS
Kibaha miaka 2004-2006 ilikuwa vizuri mazingira mazuri, vitabu vipo, walimu wapo, kuku zipo na kati ya special zote kibaha ilikuwa zaidi. Sijafahamu kwa sasa.
Sent from my Samsung Note III using Tapatalk
Mkuu mi nakipaji naomba hicho kichwa chako nikakifanyie majaribio,
Anyway... Hapo unalaumu madaktari, wamefanya kazi nzuri sana lakini huduma za afya uwekezaji wake si wa mchezo, daktari hata akisoma vizuri na wapo wengi wamesoma vizuri sana lakini uwezo wa hospital zetu ni mdogo sana inabidi watu wapelekwe india , kule watu wanafuata uwekezaji mzuri, hapa kwetu mishahara ya madoctor ni duni sana mtu kasoma 6 yrs akasome tena 5 or 4 years kwenye specialization na bado kipatomchake hakiongezeki hat mara mbili ya alichokuwa anapata awali ,hapo tutakuwa tunataniana, kiufupi serikali yetu uwekezaji umbusha mdogo sana na.ndio sababu mapaka sasa vipimo kama ct scan au MRI ni vichache sana, mkuu usiwakosee madaktari heshima , wanajitahidi sana , wanafanya kazi nzuri sana na hao hao ndio wanaona sasa kutokana na ukosefu wa vifaa wanaamua kuidhinisha mgonjwa huyo aende india, mkuu kwa sasa huduma muhimbili zimeboreshwa kidogo kwa hiyo wagonjwa watapungua sana kwenda india.
Mwishowe nakukumbusha kuwa nahitaji hicho kichwa chako nikifanyie majaribio, nataka niondoe ubongo wako niweke wa sungura pengine utaweza kuwa na akili za kijanja kama sungura