Je, Tanzania hakuna 4G? Hii tunayotumia ni 3.5G na tunadanganywa tu na makampuni ya simu?

Je, Tanzania hakuna 4G? Hii tunayotumia ni 3.5G na tunadanganywa tu na makampuni ya simu?

kimsboy

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2016
Posts
9,846
Reaction score
20,319
Je, ni kweli kwamba Tanzania hakuna 4g?hii tunayotumia ni 3.5g na tumedanganywa na makampuni ya simu?

Wakuu nasikia hii 4g ya Bongo ni ya uongo na kwamba walichofanya wameleta tu 3g ya ulaya Marekani au China na kutuaminisha kuwa na ni 4G

Wanasema hii 4g ya Bongo ni chenga tu na ni sawa na 3G tu ya Marekani au Ulaya

Hii ni kwasababu unakuta mfano halotel 4G, au Airtel au TTCL 4G kasi yake ni mwendo wa kobe sana.

Wengine waliokaa nje wanasema hivyo hivyo kwamba wameexprience 4G ya Ulaya na marekani au China haipo slow kama ya Bongo na kwamba ya huku ni 3G tu ya Ulaya imeletwa ikavikwa vazi la 4G.

Wengine wanadai wenye 4G halisi ni voda tu hao wengine ni 3.5 g tu au HSPDA+

Pia kama ilivyo 3g ina vitawi kama 3.5G,H, H+, nk. Vipi 4G ya bongo mbona haina vitawi kama zilivyo 4g za ulaya unakuta ina Lte, B, B2, etc.

Pili, je ni kweli kuna simu zina 3G au 4G ya uongo?kwa mfano kuna simu nyingi kutoka china hazina HSPDA technology kabisa aka H+ hizi simu ndo zile unakuta zinaandikaga 3G au 4G tu bila kuandika h+ au mengineyo hata ukizima data utakuta zimeandika G au 3G au 4G hizi simu ambazo nyingi ni za china jee zimeweka 4G au 3G feki?
 
Simu za china 4g yake inavyoonekana na 3g hujiandika hivi hivi
IMG-20210606-WA0004.jpeg
 
Mad Max wa jf alicomment[emoji1313]



5G inazinduliwa na TCRA au na makampuni ya simu?

Tatizo mitandao ya simu wanatudanganya sana. Hata hiyo LTE 4G ya hii mitandao wanayotuambia sio ya kweli.

Theoretically:

3.5G ina speed ya 14.4MB/s

4G ina speed ya 100-300MB/s

5G itakua na speed ya 10-30GB/s

Sasa hawa jamaa watakuja na 5G jina ila wataanza kutupatia 3.5G, kwa maana sasa hivi tupo 3G.
 
Mad Max wa jf alicomment[emoji1313]



5G inazinduliwa na TCRA au na makampuni ya simu?

Tatizo mitandao ya simu wanatudanganya sana. Hata hiyo LTE 4G ya hii mitandao wanayotuambia sio ya kweli.

Theoretically:

3.5G ina speed ya 14.4MB/s

4G ina speed ya 100-300MB/s

5G itakua na speed ya 10-30GB/s

Sasa hawa jamaa watakuja na 5G jina ila wataanza kutupatia 3.5G, kwa maana sasa hivi tupo 3G.
ha ha kweli bongo mambo bado
 
Mjadala wa kule naona umeamua kuuanzishia thread kabisa LOL
 
Mjadala wa kule naona umeamua kuuanzishia thread kabisa LOL
 
Back
Top Bottom