Je, Tanzania hakuna 4G? Hii tunayotumia ni 3.5G na tunadanganywa tu na makampuni ya simu?

Je, Tanzania hakuna 4G? Hii tunayotumia ni 3.5G na tunadanganywa tu na makampuni ya simu?

Kuna mambo mawili hapa nataka kuweka sawa.

Kuna 4G ( Masafa/ Frequency)

Kuna 4G (Band width/ speed)


Masafa ya 4G ni kweli yapo na yanatumika hapa kwetu. Minara ya simu inarusha na simu zetu zinapokea ndio maana tunaona 4G/ LTE ikidisplay kwenye simu/ Vifaa vyetu


Kwa upande wa Bandwidth au kwa namna rahisi speed ya internet ndio changamoto. Hatupati kile kitu kinachotarajiwa kipite kwenye masafa hayo.

Ki msingi ni kweli tuna Gari la tani 4 lakini mzigo linaibeba ni wa tani 3 kushuka chini.

Naomba niishie hapo.
 
Sasa wakuu, tushaona mzigo tunaopewa sio. Twende kwenye kupata ufumbuzi. Tunafanyaje tupate kile kinachohubiriwa kuwa ni 4G?
Kwa sasa natumia TTCL, kwenye screen yangu inadisplay H+ na sometimes 4G ila hata kufungua status whatsap mtihani. Kwa hapa kweli nakubali kuwa tunauziwa mbuzi kwenye gunia.
 
Iyo speed nzuri ndo inafanya bando lako liishe haraka.
Mnaibiwa,nishatumia gb 20 za holland kwa kudownload,kuwatch netflix,youtube na mambo mengine kibao online kwa mwezi mzima,gb 20 za voda Tanzania kwa router ile ile niliyotumia holland pasipo kudownload,kuwatch netflix,youtube kwa kuibia sana,azimalizi siku 10,hizo kampuni za simu haziwezi kufanya ujinga huo nchi za ulaya,afrika tu ndio inawezekana
 
Asante
Kuna mambo mawili hapa nataka kuweka sawa.

Kuna 4G ( Masafa/ Frequency)

Kuna 4G (Band width/ speed)


Masafa ya 4G ni kweli yapo na yanatumika hapa kwetu. Minara ya simu inarusha na simu zetu zinapokea ndio maana tunaona 4G/ LTE ikidisplay kwenye simu/ Vifaa vyetu


Kwa upande wa Bandwidth au kwa namna rahisi speed ya internet ndio changamoto. Hatupati kile kitu kinachotarajiwa kipite kwenye masafa hayo.

Ki msingi ni kweli tuna Gari la tani 4 lakini mzigo linaibeba ni wa tani 3 kushuka chini.

Naomba niishie hapo.
 
Hapo vipi vodacom inasoma 35 mbps......
Screenshot_20210607-002454.jpeg
 
Back
Top Bottom