Je, Tanzania imewahi kuwa na Rais mwizi?

Je, Tanzania imewahi kuwa na Rais mwizi?

Tufanye Sabaya anamsingizia vile ile 1.5Trilioni aliyosanua CAG ikamsababisha ugomvi akatimuliwa?
Kwa hiyo, mtu akisema ndio ushahidi? Huyo Sabaya alipokuwa anaiba alionyesha aliingiza kiasi gani kwenye account ya Magufuli au alimgawia kiasi gani cha pesa?

Ushahidi si maneno ndugu yangu. Mtu anaweza kusema chohocte na ili ushahdi uchukuliwe ni lazima athibitishe. Kasome sheria ya ushahidi.
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
Magufuli alikuwa mwizi mpaka anajiibia mwenyewe. Kama anaweza kusema tunajenga miradi kwa 'hera' zetu wenyewe na sisi ni 'dona kantre' kumbe anakopa kisirisiri huo si wizi uliokubuhu?
Kama kungekua na uwazi nchii hii yaani huyo jamaa ndo alikua balaa sema ndo hivyo aliokula nao wapo kwenye system bado wanaona haya kujivua nguo..

Huyo mzee kipindi chake alifunga watu midomo ili yake yasisemwe hata kidogo lakini kaiba pia...

Kuhusu swala la wizi watanzania wote sisi wezi tumetofautiana tu fursa za kuiba...sasa huyo jamaa analeta mahaba.
 
Inawezekana Samia si katika hao na ndio ikawa shida kwa viongozi wa serikali ambao wameota mizizi ndani ya serikali tokea tupate Uhuru na hata maraisi wastaafu wanaonekana wakijichomeka kung'ang'ania serikali na sio serikali bali Raisi mpya anaeingia madarakani.

Hisia zinaonyesha kuna magenge ambayo mazoea yao yanaonekana kukatika au kukatwa na sasa wanafanya juu chini ili kutafuta mbadala wa Samia ili wizi uendelee kama kawaida.

Ndio nikauliza Tanzania imewahi kuwa na Raisi kibaka ?
Meko alikuwa jambazi haswa
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
Ndiyo
  1. Alifilisi pesa zote katika mashirika ya hifadhi ya jamii
  2. Alianza kuchungulia katika account za watu na kuchota pesa zao
  3. Wakuu wa wiaya wengine nao walianza kuwa wezi akawa anawaangalia tu hadi wengine wamekamatwa na kufikishwa mahakamani na kufungwa
  4. Alitaifisha michango ya wananchi kwa wananchi wenzao waliopatwa na maafa ya tetemeko la ardhi huko Bukoba alizipeleka fedha hizo kusikojulikana
  5. Mkaguzi na mdhibiti wa fedha za serikali alikuta kuna upotevu wa shs tillion maja na nusu alivyotoa taarifa aliondolewa madarakani kinyume na taratibu
Na fedha za tetemeko kagera akala.
 
Una ushahidi? Miradi aliyokuwa anajenga, inamtetea. Yule wa nne ndiye muasisi wa watu wasiojulikana kama hamjui. Watu walitekwa, wakang'olewa meno na kucha bila ganzi, vifo vya kina Dr. Mvungi na wengineo. Jamaa amekimbilia kujifanya mentor ili aendeleze umfia wake bila kuguswa. Jamani Wtz iweni na tahadhari badala ya kuongea tu kwa sababu za kujiburudisha. Jamaa ni balaa.
Mwizi akikununulia soda anakoma kuwa mwizi? Ushahidi, ushahidi, unataka ushahidi gani zaidi ya ripoti ya CAG?
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
Huo ni uwenda wazimu tu,hakuna cha zaidi.
Unamchukia mtu kwasababu ya matatizoyako mwenyewe.
Vyeti feki na mafisadi wakwepakodi tu ndio mnaweza kutoka kauli kama hizo za kumuita binadamu mwenzenu shetani.

Huyo kasha kufa,hata ukiwa na mahasira kiasi cha kujisaidia haitakusaidia kitu.
Kama kunakitu alikukwaza, Ukisamehe tu akilizako zitarudi kuwa sawa.
vinginevyo utabaki kuwa mnara mbaka siku unafukiwa chini.
Kufa kwake hakuondoi ukweli kuhusu vitendo vyake vya kishetani alipokuwa hai. Mbona mpaka Leo mnatangaza unyama wa Iddi Amini au yeye yuko hai?
 
Inawezekana Samia si katika hao na ndio ikawa shida kwa viongozi wa serikali ambao wameota mizizi ndani ya serikali tokea tupate Uhuru na hata maraisi wastaafu wanaonekana wakijichomeka kung'ang'ania serikali na sio serikali bali Raisi mpya anaeingia madarakani.

Hisia zinaonyesha kuna magenge ambayo mazoea yao yanaonekana kukatika au kukatwa na sasa wanafanya juu chini ili kutafuta mbadala wa Samia ili wizi uendelee kama kawaida.

Ndio nikauliza Tanzania imewahi kuwa na Raisi kibaka ?
Unatutega?Nimewahi kusoma dibaji ya US$100 Mil.zilizochotwa kwa sababu watu wengine pia hujichotea!
 
Ni mwizi pia. Kuchukua pesa ulizopewa na jirani uwapelekee watoto wake walipe ada, wewe unanunua nguo za watoto wako huo ni Wizi wa Kuaminiwa.
Ndo nimesema hapa wote wezi...watanzania sisi sote tuna chembe chembe za wizi tunatofautiana viwango na fursa.
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
Kufa kwake hakuondoi ukweli kuhusu vitendo vyake vya kishetani alipokuwa hai. Mbona mpaka Leo mnatangaza unyama wa Iddi Amini au yeye yuko hai?

Wengine mnatakaga sifa za kijingatu ilimradi uonekane nawewe unalialia.

Upuuzi mtupu,unaweza kudhibitisha huo ushetani wake ama ni bendera fataupepo.

Alafu unalinganisha nini kati ya Iddi Amini na huyo unaemuita shetani.
 
Hayo ni majungu, na hayana proof kwamba ni yeye alihusika moja kwa moja. Alimlipiza nani visasi? Alimfanyia nani roho mbaya? Wewe unawezaje kujua zil 1.5t, ziliibiwa na yeye mwenyewe kwa maslahi yake binafsi? Naomba uwe specific. Sisi wanaume wengine hatupendi sana mitaarabu na mipasho isiyokuwa na grounds. Jitahidi kutusaidia msingi wa hoja.
Hana hoja huyo ,namfahamu kilasiku nyimbo zao ninzile zile 1.5 T kwenye koras.
 
Chama kile chenye members wa kujivua Magamba?? Kile kinachomiliki channel ya kumi?

Haahaaaa ZZK njoo na Ile list ya Uswizi!

Everyday is Saturday..........................................😎
Wezi wote maarufu wapo ccm na wanalipwa kiinua kiuno cha asilimia 65-80 ya mishahara ya waliopo,wanakula mema ya mama Tanzania.
Wote ni wale wale jana leo na kesho-kama hatuwaondoi sasa!
 
Back
Top Bottom