Je, Tanzania imewahi kuwa na Rais mwizi?

Huyo unayembeza ndiye kiongozi aliyefanya kazi kubwa mno kuunganisha nchi,japo yule mwizi alikuwa anapunguza unene wa barabara ili ajinufaishe huku akitengeneza mabarabara yanayo bonyea hovyo,ache JK Apumue ale bata zake tartiibu.
 
mwanaume utakuwa wewe na mineno yako ya kwenye kanga? maajabu haya.
 
Wa nne alifanya miradi mingi kuliko huyo jambazi #5,so. Wote walikwara,ila huyu #5 alikuwa mkora katili,afadhali yule #4 alikwara akawaachia na nyie kidogo mkala mkashiba,huyu wa juzi kati hapa alitamani watu wafe atawale maiti.
huyo mbwa unayemueleza hawezi elewa chochote! ni pure kilaza.
 
Nashindwa kukupa jibu la moja kwa moja lakini tujiulize rais anaruhusu viongozi wale kwa urefu wa kamba zao na wasivimbiwe sasa hii utaiitaje? Kuna wengine kamba zao zinafika kilomita tano!!!!!
 
Nashindwa kukupa jibu la moja kwa moja lakini tujiulize rais anaruhusu viongozi wale kwa urefu wa kamba zao na wasivimbiwe sasa hii utaiitaje? Kuna wengine kamba zao zinafika kilomita tano!!!!!
NA WEWE PIA KULA KWA UREFU WA KAMBA YAKO ACHA KULALAMA,HAIKUSAIDII KITU,HAPO KAZINI KWAKO KULA KULA KULA.
 
Nashindwa kukupa jibu la moja kwa moja lakini tujiulize rais anaruhusu viongozi wale kwa urefu wa kamba zao na wasivimbiwe sasa hii utaiitaje? Kuna wengine kamba zao zinafika kilomita tano!!!!!
Itakuwa umemuelewa kiulalamikaji,kiubishani kimpingo na kiupinzanii, ni sawa wapinzani ndivyo tunavyotakiwa tuwe ,panaposemwa kweli na serikali ni lazima tuseme imesema uwongo ,ndio siasa za upinzani na hata ushahidi unakuwepo kuwa amesema uwongo. Upinzani hutakiwi kuiunga mkono au kuipongeza serikali hilo ni mwiko na upawa. lazima itolewe kasoro kivyovyote vile ndio upinzani,ukiona vyama vya upinzani vinaunga mkono kauli za Chama kilichopo madarakani,hivyo vyama vimeanza kuyumba na havijui wajibu wao kama chama cha upinzani.

Kula kwa urefu wa kamba ni kawaida duniani kote,hilo lipo ,ila urefu wa kamba ni mipango na si udokozi katika hela iliyotengwa kwa ajili fulani,mahesabu yanatakiwa yawe sawa mwisho wa mwaka kwa mujibu wa matumizi,trilioni zikitoweka na zisijulikane zilipo hapo ndipo panapotakiwa uwepo uwajibishwaji kwa kosa la uzembe.

na pia ulaji usiharibu viwango na malengo yaliyowekwa ,waziri atoe maelezo na kuwajibishwa kama maelezo hayakukidhi na ya ubabaishaji na kisha apandishwe kizimbani.

Kuna siku atatokea Raisi na kuwafikisha maraisi waliopita Mahakamani, kama walivyofikishwa baadhi ya Mawaziri kwa raisi alie na uthubutu.
Au kikatokea chama kitakachoshika hatamu za nchi na kuweza kuishitaki au kuzishitaki serikali zilizopita na viongozi wake,maana kumbe majamaa ni matajiri wa kutisha.
 
Shule za kata nchi nzima,barabara za rami kuunganisha mikoa,umeme wa REA,Kutoa maji ziwa victoria hadi Shinyanga,Kutafuta wahisani na kusaini ujenzi wa barabara za rami mitaani kwa kila mkoa,Ujenzi wa vinu vya kuzalisha umeme Kinyerezi 1 na 2 ambavyo vinatoa karibu 60% ya umeme wote tulionao sasa nchini,Kukuza kilimo kwa kuwezesha masoko ya uhakika,upatikanaji wa mbolea kwa bei nafuu na kuingia kwa Pawatira na Trekta kwa bei za chini kabisa,n.k.
Chuki utendesha dhambi kwa mwenye kuibeba.
 
Siyo Rais tu hakuna Mtanzania si mwizi. Tumezidiana viwango na athari za wizi tunaoufanya kwa maendeleo ya nchi yetu.

Ile 1.5 trillion iko wapi, hakuna jibu mpaka leo.

Nape alitaka review ya mikopo ya Magufuli angalia walivyocharuka hawataki .
 
Yote hayo hayamfanyi kutokuwa mwizi au mtu mshenzi aliyetesa, aliua nk

Wewe unadhani kujenga barabara kunamfanya asiwe mwizi, au inaondoa ukweli kwamba alipoteza watu wakiwa hai.
 
Reactions: Qwy
Kwa kifupi ni kama tulivyoambiwa. Kila mbuzi atakula kwa urefu wa kwamba yake. Ila tahadhari inatolewa, hakikisha huvimbiwi na kuanza kutoa mashuzi.
 
Yote hayo hayamfanyi kutokuwa mwizi au mtu mshenzi aliyetesa, aliua nk

Wewe unadhani kujenga barabara kunamfanya asiwe mwizi, au inaondoa ukweli kwamba alipoteza watu wakiwa hai.
Hayo ya kuua na wizi sijayaona zaidi ya kusikia kwa haters kama wewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…