utukufu mwanjisi
JF-Expert Member
- Aug 19, 2017
- 2,849
- 2,508
Hivi wakuu mpaka sasa majaji wako wangapi Tanzania hii?
pia yale magari sijui Jaji 1,Jaji 30 sijui ngap ngap huko yote yanatumia mafuta kulipiwa na serikali?
Pia mishahara yao ipoje jaman? mana mh
pia yale magari sijui Jaji 1,Jaji 30 sijui ngap ngap huko yote yanatumia mafuta kulipiwa na serikali?
Pia mishahara yao ipoje jaman? mana mh