FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
‘Instagram Algorithm’ ni mfumo wa unaotumika kwenye matangazo mbali mbali ya kibishara amabpo mtumiaji huwa analetewa matangazo yale yanayomusu kwankiwango kikubwa kulingana na viashiria mbalimbali (data collection) inavyovipata mtandaoni.
Sasa Tanzania tunaletewa hili tangazo la mfumo wa usalama wa uchapishaji pesa, na tunaletewa kwa nguvu sana. Ne, mfumo umenusa viashiria gani huko serikalini?
Tangazo lenyewe hili hapa
View: https://instagram.com/p/DC3y9avg793/
=======================
22/01/2025
www.jamiiforums.com
Sasa Tanzania tunaletewa hili tangazo la mfumo wa usalama wa uchapishaji pesa, na tunaletewa kwa nguvu sana. Ne, mfumo umenusa viashiria gani huko serikalini?
Tangazo lenyewe hili hapa
View: https://instagram.com/p/DC3y9avg793/
=======================
22/01/2025
Tanzania yazindua Noti Mpya toleo la 2010 zenye Saini ya Waziri Mwigulu Nchemba na Gavana Emmanuel Tutuba
Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania, Bw. Emmanuel Tutuba amesema kuwa Noti Mpya za Tanzania zenye Saini ya Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba (Mb) na yeye mwenyewe, za toleo la mwaka 2010, zitaingia kwenye mzunguko kuanzia tarehe mosi Februari mwaka huu. Gavana Tutuba amesema hayo wakati...