Tanzania Ma-legendar wako kwa ngazi tofauti.
Ngazi ya kwanza ni-
Omary bin Jabir
Maulid Dilunga
Hawa kwa pamoja kwa umahiri wao wa kucheza soka waliweza kuchaguliwa Kwenye timu ya Afrika
Kundi jingine ni la kina
Sunday Manara
Kassim Manara
Hawa ni wachezaji wa mwanzo wa Tanzania kwenda kucheza soka Ulaya.
Kundi jingine hili linamuhusisha;
Kitwana Manara
Huyu alilitawala soka la Afrka Mashariki kwa muda mrefu.
Mwingine ni
Mohammed Chuma
Huyu naye alijijengea umaarufu mkubwa kwa kuchezea timu ya taifa kwa muda mrefu na kuagwa kwa heshima.
Kundi la mwisho hili linawahusisha wachezaji wafuatao;
1- Juma pondamali
2-Daud salum Bruce Lee
3-Hassan zitto/Mohammed kajole
4-Salim Amir/leodgar Tenga/Mukebezi
5-Jellah Mtagwa
6- Mohammed Adolf /Juma mkambi
7- ,Omar Hussein
8- Hussein Ngulungu
9- Peter Tino
10- Mohammed Salim
11- Thuwen Alii /Charles Alberto
Na wengineo niliowasahau hawa ndo waliofanikisha Tanzania kucheza fainali za Afrika 1980 kule Lagos.