Uhakika Bro
JF-Expert Member
- Mar 29, 2022
- 3,644
- 4,315
Swali linajieleza, je waendesha pikipiki tumefikia wangapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
P/s, if u don't mind, elaborate a bit as to why there is a drop in number of motorcyles between 2016 (1,280,000) and 2021 (1,047,659) a difference of 233,000 motorcycles.
2016-17 walianza kutumia number plate zao MC.P/s, if u don't mind, elaborate a bit as to why there is a drop in number of motorcyles between 2016 (1,280,000) and 2021 (1,047,659) a difference of 233,000 motorcycles.
1. Je, Hiyo tofauti inatokana na Ongezeko la ajali au wanajamii wamezishtukia pikipiki na hawanunui tena au wahusika walibadilisha ajira baada ya kufanikiwa ktk awamu ya kwanza au zimepanda bei au ikoje? Asante.
Serikali haijawahi kutoa Correct up-to-date figures na haioni umuhimu wa ku-update data bases zake.2016-17 walianza kutumia number plate zao MC.
Kuna baadhi ya old number plate T123AAA hawakuenda ku-update.
Source: Trust me Bro.
Kwani ulikuwa na matarajio gani (Vision) ulipokuwa chuo? Ok; Kwa sasa umeshazoea unaonaje hapo au ndoto zako bado ni zilezile za chuoni?Tupo wengi sana, nakumbuka mara ya kwanza nafanya kazi ya kuendesha bodaboda nilikuwa najishitukia eti kisa nimesoma chuo baadae nikazoea tu
Ukichanganya na wale wachezaji wa Yanga princess mnakuwa bodaboda miliona na laki3Swali linajieleza, je waendesha pikipiki tumefikia wangapi?
View attachment 3115246
Hii takwimu ni ya lini au mwaka gani mkuu?Ukichanganya na wale wachezaji wa Yanga princess mnakuwa bodaboda miliona na laki3
Thank you, this will do 👏
Wamiliki bqjaji wengi walinunua daladala na nyingine ziliondoka barabarani kwa sababu ya uchakavuP/s, if u don't mind, elaborate a bit as to why there is a drop in number of motorcyles between 2016 (1,280,000) and 2021 (1,047,659) a difference of 233,000 motorcycles.
1. Je, Hiyo tofauti inatokana na Ongezeko la ajali au wanajamii wamezishtukia pikipiki na hawanunui tena au wahusika walibadilisha ajira baada ya kufanikiwa ktk awamu ya kwanza au zimepanda bei au ikoje? Asante.
Yes. Wanatusaidia sana huku vijijini japokuwa ajali nazo mh!Ma Afisa Usafirishaji.
Hivi bajaji nao ni katika kundi la bodaboda eti? (Asante nilikuwa sijui). Kwani zilizo chakaa hazikuwa replaced hata moja ? Nilivyomuelewa mtoa Hoja ni kwamba ifike mahali tuweze kutamka kwa uhakika Idadi ya pikipiki zilizopo na zinazotoa huduma almaarufu kama bodaboda. Hii ni hoja muhimu sana kwani hiyo ni Ajira katika Sekta binafsi.Wamiliki bqjaji wengi walinunua daladala na nyingine ziliondoka barabarani kwa sababu ya uchakavu
Nilivyokuwa chuo vision ilikuwa nipate ajira kwenye kitengo kama TRA au Bandarini halafu niwe napiga hela....sasa hivi sina muda wa kuota nakabiliana na reality ya maishaKwani ulikuwa na matarajio gani (Vision) ulipokuwa chuo? Ok; Kwa sasa umeshazoea unaonaje hapo au ndoto zako bado ni zilezile za chuoni?
Very good. Kumbe theories za chuoni, watu au tunadanganyana au haziakisi ukweli na uhalisia wa maisha.Nilivyokuwa chuo vision ilikuwa nipate ajira kwenye kitengo kama TRA au Bandarini halafu niwe napiga hela....sasa hivi sina muda wa kuota nakabiliana na reality ya maisha