raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
Kama magari yapo 2.3mil pikipiki zitakuwa mara 3 yakePia ukiniambia namba iliyopo sahivi kwenye pikipiki tunaweza guess.
Mfano nimejaribu kwa magari nineona inakuja Mil 2.3
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama magari yapo 2.3mil pikipiki zitakuwa mara 3 yakePia ukiniambia namba iliyopo sahivi kwenye pikipiki tunaweza guess.
Mfano nimejaribu kwa magari nineona inakuja Mil 2.3
Kwa kigezo gani mkuu?Kama magari yapo 2.3mil pikipiki zitakuwa mara 3 yake
Kudhania tuuKwa kigezo gani mkuu?
Ndio sie...tunatamba tuu tena wikend kama hii ni kisafirisha warembo kuelekea machinjoniMa Afisa Usafirishaji.
Na hapo magari ya serikali hayapo.Kama magari yapo 2.3mil pikipiki zitakuwa mara 3 yake
Inawezekana lakin kumbuka pia watu wengi huangalia madhara yaletwao na uendeshaji wa pikipiki yakiwemo maradhi katika mfumo wa kupumua (Pneumonias), ajali, urahisi wa kuibiwa, vikwazo vya idadi ya abiria na aina ya watu unaoweza kubeba pamoja na umbali unaoweza kusafiri(Distance). Lakini sababu ya bei kuwa chini e.g. Tzs mil 2-3 sio wote wanaimudu. Ndo mana wengine hukopa au kutumia Mkataba.Kudhania tuu
Kwamba sabb bei chini basi watu wengi watakuwa nazo kuliko gari
Hilo ni kweli na hongereni sana kwa kutunza siri za yanayojiri muwapo Ofisini kwenu. Ila kuweni waangalifu sana katika uendeshaji wenu.Ndio sie...tunatamba tuu tena wikend kama hii ni kisafirisha warembo kuelekea machinjoni
Hapo kuna pikipiki bila Bajaj na sehemu ya pili pikipiki pamoja na BajajP/s, if u don't mind, elaborate a bit as to why there is a drop in number of motorcyles between 2016 (1,280,000) and 2021 (1,047,659) a difference of 233,000 motorcycles.
1. Je, Hiyo tofauti inatokana na Ongezeko la ajali au wanajamii wamezishtukia pikipiki na hawanunui tena au wahusika walibadilisha ajira baada ya kufanikiwa ktk awamu ya kwanza au zimepanda bei au ikoje? Asante.
Namba za MC zilianza kipindi Cha kikwete. Nakumbuka ilikua kwenye bajeti aliyoleta Saada Mkuya waziri wa fedha wa kikwete nadhani wa mwisho.2016-17 walianza kutumia number plate zao MC.
Kuna baadhi ya old number plate T123AAA hawakuenda ku-update.
Source: Trust me Bro.
Kaya chache sana hazina Bodaboda.Swali linajieleza, je waendesha pikipiki tumefikia wangapi?
View attachment 3115246
Uko vizuri. Kwa mujibu wa Takwimu ya idadi ya watu katika majimbo, SWM 2022Kwa wastani kila kaya ina bodaboda 1.
Rejea sensa ya makazi utajua kuna kaya ngapi then angalia trend ya ongezeko la kaya kutoka 2022-2024.
Ni majanga kwa hakika
Excellent memory. 2014 ndio ilikua mwisho wa T123AAA to precisely.Namba za MC zilianza kipindi Cha kikwete. Nakumbuka ilikua kwenye bajeti aliyoleta Saada Mkuya waziri wa fedha wa kikwete nadhani wa mwisho.
Hoja hii 👆 👆 inaonekana kukinzana na pale uliposema walau kila kaya ina pikipiki. Mwaka 2022 Tz ilikuwa na kaya zaidi ya milioni 14. Kama tukisema walau Nusu ya kaya zote inamiliki pikipiki, tutakuwa na pkpk zaidi ya mil. 7. Hapo hilo unalisemeaje mkuu?Hapo kuna pikipiki bila Bajaj na sehemu ya pili pikipiki pamoja na Bajaj
Noted tutakuwa waangalifu mwanawane ili tuendelee kuwaletea maburidani yenu kwenye eneo la machinjioHilo ni kweli na hongereni sana kwa kutunza siri za yanayojiri muwapo Ofisini kwenu. Ila kuweni waangalifu sana katika uendeshaji wenu.
Sensa inaeleza Kila kitu kafuatlieSwali linajieleza, je waendesha pikipiki tumefikia wangapi?
View attachment 3115246
Siyo kadhaa. Milioni nyingi tu.Milioni kadhaa