Je, Tanzania sio salama? Hizi bunduki za nini?

nafikiri Raisi mwenyewe anapenda iwe kivile na huku ndiko kunakopelekea kulewa madaraka ,Mwenyezi Mungu amuepushe Raisi Samia na kulewa madaraka.
 
Wewe kinakuuma kitu gani? Kama huo mzigo ni mzito kwani umeubeba wewe?
 

Unayaamini je mabunduki hayo mikononi mwa watu wenye viwango vyao vya ukichaa?

Hiiiiii bagosha!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…