Tatizo la Afrika kwa mawazo yangu sio kutokuwa na wasomi wa kutosha bali tuna matatizo makubwa matatu
1. Kutokuwa ma maarifa
2. Utamaduni wa kupuuza -Sheria, wezi, rushwa....
3. Ubinafsi- Mfano Rushwa
Wasomi wetu wengi ambao ndiyo viongozi wamekuwa wabinafsi kiasi kwamba wanaweka upendeleo kwa kuajiri mfano ndugu au kikabila, kula pesa za rushwa badala ya kuwekeza kwa wananchi na utamaduni wa kutokufuata sheria ambao ndiyo unaleta rushwa.
Hustler: Ni wale watu ambao ni wahangaikaji, wabunifu na wamependa maendeleo. Hawa ni wale watu ambao leo ukiwapeleka sehemu yeyote Dunia wataangalia jinsi ya kujikwamua na kufanikiwa na sio kulalalama au kujigamba. Mfano mzuri wa Hustler ni Lema. Lema ameondoka Tanzania kwa miaka miwili bila kutegemea na kwenda Canada. Kwa muda wa miaka miwili tu ameshatafuta wawekezaji na kuingia ubia nao, amejifunza kufanya biashara tofauti. lakini Tanzania tuna Hustler wengi ambao tunatakiwa kujifunza kwao badala ya kusoma tu halafu tunasubiri kazi.
1. Kutokuwa ma maarifa
2. Utamaduni wa kupuuza -Sheria, wezi, rushwa....
3. Ubinafsi- Mfano Rushwa
Wasomi wetu wengi ambao ndiyo viongozi wamekuwa wabinafsi kiasi kwamba wanaweka upendeleo kwa kuajiri mfano ndugu au kikabila, kula pesa za rushwa badala ya kuwekeza kwa wananchi na utamaduni wa kutokufuata sheria ambao ndiyo unaleta rushwa.
Hustler: Ni wale watu ambao ni wahangaikaji, wabunifu na wamependa maendeleo. Hawa ni wale watu ambao leo ukiwapeleka sehemu yeyote Dunia wataangalia jinsi ya kujikwamua na kufanikiwa na sio kulalalama au kujigamba. Mfano mzuri wa Hustler ni Lema. Lema ameondoka Tanzania kwa miaka miwili bila kutegemea na kwenda Canada. Kwa muda wa miaka miwili tu ameshatafuta wawekezaji na kuingia ubia nao, amejifunza kufanya biashara tofauti. lakini Tanzania tuna Hustler wengi ambao tunatakiwa kujifunza kwao badala ya kusoma tu halafu tunasubiri kazi.