Webabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2010
- 8,870
- 14,258
Shambulio ambalo kawaida linaitwa la kigaidi lililofanywa na Israel nchini Lebanon lazima lituzindue na kutufanya tuanze ukaguzi wa kina wa vifaa vya kielektroniki vinavyoingia nchini. Je, kitengo hicho kipo TBS?
Kuanzia sasa, ni muhimu kwamba simu na betri zinazoingizwa nchini zifanyiwe majaribio ya kutosha katika maeneo ya mpaka. Kwanza, waanze na betri.
Pia, makampuni ya simu yanapaswa kuweka mikakati maalum ili watu waweze kutuma ujumbe mmoja kwa idadi kubwa ya watu kwa wakati mmoja. Katika tukio la Lebanon, walipokea ujumbe mmoja kutoka chanzo kimoja na karibu wote walifungua ujumbe huo kwa pamoja, ambayo ilikuwa kama switch ya bomu ndani ya simu zao.
Kuanzia sasa, ni muhimu kwamba simu na betri zinazoingizwa nchini zifanyiwe majaribio ya kutosha katika maeneo ya mpaka. Kwanza, waanze na betri.
Pia, makampuni ya simu yanapaswa kuweka mikakati maalum ili watu waweze kutuma ujumbe mmoja kwa idadi kubwa ya watu kwa wakati mmoja. Katika tukio la Lebanon, walipokea ujumbe mmoja kutoka chanzo kimoja na karibu wote walifungua ujumbe huo kwa pamoja, ambayo ilikuwa kama switch ya bomu ndani ya simu zao.