Je, TCRA wana mamlaka yoyote ya kutunga sheria?

Je, TCRA wana mamlaka yoyote ya kutunga sheria?

Solomonia

Member
Joined
Oct 8, 2023
Posts
44
Reaction score
112
Naomba kufahamu kwa wajuvi wa sheria hapa JF.

TCRA ni taasisi inayosimamia mawasiliano hapa TZ.

Je hawa watu wanahusika na kutunga sheria?

Mfano ni kuhusu hili suala la VPN
FB_IMG_1697276010048.jpg
 
Back
Top Bottom