Views za kukeshea YoutubeKitu pekee ambacho umesahau ni kwamba Ali kiba pia kavunja rekodi ya ngoma yake kupata views wengi ndani ya mda mfupi kuliko. Hiyo pekee ni LA kujivunia kwake
anatisha diamond kaka like DOMO mchezo nini [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
ASIYEJUA MAANA USIMWAMBIE KAKA, ACHA WAJITEKEKENYE, kila siku wanajifanya wanaviewers weng bt hawajawah kuvunja rekod, mwanaume ngoma moja kavunja kila kitu.Kitu pekee ambacho umesahau ni kwamba Ali kiba pia kavunja rekodi ya ngoma yake kupata views wengi ndani ya mda mfupi kuliko. Hiyo pekee ni LA kujivunia kwake
Kakutolea posa ?
AFU KUMBUKA ILE SHOW WALIISIMAMIA BONGO MOVIES,SO ILIOKUA NI MWENDO WA MAIGIZO TU.
MASKINI KIBA NAYE WAKAMFANYA BONGO MOVIES NA MAIGIZO YA VIEW,KUMBE NDO WAMEMPOTEZA NA CLOUDS WAMEMDAKA JUU KWA JUUU WAKAMTIA KATIKA FIESTA BILA KUJUA NA KWA DAU LILE LIE
KWA STAILI HYO ATAACHA KUENDELEA KUPANGA MIAKA NENDA RUDI
Ni aibu sana itakapopitwa viewz pamoja na kampeni zote zile na promo la mange kimambi.....Gap la views limepungua toka laki 9+ hadi laki6+, si ajabu huko mbeleni seduce me ikapitwa na zilipendwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu muda huu hawataongeza views tena maana wote wamehamia kiakili Nairobi.Naona viewz zimeganda tu, zilipendwa inazidi kushika kasi bila promo bila kampeni ngoma inazidi kutusua tu.....itakuwa aibu sana pale seduce me itakapopitwa viewz na ngoma ambayo imetoka bila promo wala kampeni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Team kiba wakiwa kazini mambo za ma viewz nn.
bosi ucshangae huyu ni msanii popular kwenye mitandao ya kijamii tu...lakini huko kitaani ambako ndo kuna raia wengi wasiokuwa na uwezo wa smart phone,wanamuelewa zaidi diamond kuliko huyo the so called king!nyimbo za mondi rika zote wanazielewa ila seduce hakika muulize mdogo wako au mtoto wa nyumba ya jirani kama atajua hata mstari mmoja.
Wasanii zaidi ya 5 wakiungana ilibidi kwa siku mbili waae na waliotazama video angalau 7m otherwise sioHahahaaaa jipe moyo wakati inachoma kama pasi.....mda siyo mrefu mnaenda kuabika na ukeshaji wenu wa youtube.
Kusoma adi kukesha ni kukosa kujiamin....
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hiyo Avatar yako kila nikiiona huwa inanifurahisha sana. Natamani ningekuwa na ukaribu na huyo mtu.Mkuu muda huu hawataongeza views tena maana wote wamehamia kiakili Nairobi.