Michembe MITAMU
Member
- Feb 6, 2024
- 7
- 15
Mkuu sio mbay ukanicheki kunipa mwongozo ABC nkuja pm saivi.Good,
Kama miaka mitano nyuma nilifuga tilapia chotara na wale Mozambicus na cat fish. Ni kweli mbegu za asili zinatoweka kwa kasi ya ajabu, mimi nimeamua kutunza mbegu hizi za asili, mozambicus, tilapia na cat fish. Kwa sasa nakusanya cat fish jamii mbalimbali na kuwatunza vizuri.
Naomba kujua kuna wale tilapia ambao hawazaliani. unachukua mbegu unaweka bwawani kwako wakifikia uzito unaotakiwa unawavua, unasafisha bwawa unaweka vifaranga vipya. sasa kwa aina hii kwenye bwawa la zege na bwawa la kawaida kuna utofauti wa ukuaji? Given huduma za chakula, aeration na kubadili maji iko constantHizo za zege ndio nimewatoq catfish humo kwangu hawaongezek nimewawek waishi kama watakavyoishi wakiw ktk natural ponds...
Tilapia akiwa ktk ponds za zege uzaliaji wake si mkubwa maana kwa jinsi nilivyowasoma tabia yao wana mtindo wa kutengenez viota kama Kuku.. sasa ktk hii natural pond langu wanaviota vya kutosha sana...
Duh!!.Kwa hiyo tusiwaamini wataalamu?.Watu waliosomeshwa kwa kodi zetu?.Hakuna kitu mtaalam atakuja kupinga hata kama kitakuwa na athari kwa baadaye, kumbuka aliyezindua ufungaji huo ni nani alafu huyo mtaalam ambaye hajitaki ataongelea wapi?.
Labda aww humu JF kwa avatar fake ndipo apandishw uzi, vinginevyo subirini hadi yatukute ndipo wataalam fake waongee kwa wkt huo.
Wataalam wenyewe wameamua kuingiliwa na wanasiasa unataka umuamini vipi?.Duh!!.Kwa hiyo tusiwaamini wataalamu?.Watu waliosomeshwa kwa kodi zetu?.
Hapo huwa wanaweka jinsia moja na mara nyingi ni MADUME pekee...Naomba kujua kuna wale tilapia ambao hawazaliani. unachukua mbegu unaweka bwawani kwako wakifikia uzito unaotakiwa unawavua, unasafisha bwawa unaweka vifaranga vipya. sasa kwa aina hii kwenye bwawa la zege na bwawa la kawaida kuna utofauti wa ukuaji? Given huduma za chakula, aeration na kubadili maji iko constant
Shukran, nafugia Tabata, Maeneo ya Kinyerezi. Nina eneo kama la nusu acre hivi. Ila kwa bwawa nimetenga kipande kiasi.hongera sana mkuu. moja kitu nachowaza sana kukifanya siku za usoni. Je unafugia wapi mkuu?
Na wasiwasi na elimu yako hio point nmb 2 umetuingiza chaka mzee hicho chakula cha kuwalisha kinatokana na mioango yako ipoje labda unahitaji kuzalisha samaki wa jinsia moja hivo utawalisha ili kuwabadili sex kwaio bicho chkl ni maalumu kwa ajili ya kuchange sex.Ukuaji wa uchumi wa nchi ni pamoja na matumizi ya teknolojia mbalimbali ili kuongeza uzalishaji na kuinua uchumi wa nchi na maendeleo kwa ujumla.
Katika Sekta ya uvuvi, kilimo cha samaki kimekuwa kikihimizwa kila leo kwa lengo la kuongeza uzalishaji ili kuendana na mahitaji ya soko.
Kwa Tanzania nimekuwa nikiona mabwawa yakichimbwa kwa ajili ya ufugaji samaki.
Lakini kumbe si mabwawa tu, pia fish cages zinaweza kutandikwa ziwani na uzalishaji wa samaki ukaendelea.
Kilichonifanya niandike hapa:-
i) Mbegu ngeni inayoletwa (Spp. ngeni)
Ufugaji huu unahusisha mbegu ngeni kutoka nchi za wenzetu (Tilapia spp) na inasemekana mbegu ngeni ni tamu ukilinganisha na hii ya kwetu ya asili.
Je, uwepo wa mbegu hii ngeni haiwezi kuitawala Spp. tuliyonayo, na mwisho wa siku tukapoteza kabisa ile ya kwetu?
ii) Aina ya chakula
Chakula kinachotumika kuwalisha hawa samaki inasemekana kina kemikali ambazo baadaye huwaathiri samaki majike na kugeuka kuwa madume.
Je, endapo hiyo kemikali itaathiri samaki wa asili na kukumbwa na mabadiliko hayo,kuzaliana kwa samaki wa asili kutaendelea kuwa sawa?
iii) Uvuvi haramu
Serikali yetu imekuwa ikipiga vita juu ya uvuvi haramu, je, huu uwekezaji hatuwezi kuuterm katika uvuvi haramu?
Wataalamu wa masuala ya uvuvi na kilimo cha samaki, naombeni elimu kuhusu hili.
[emoji1666][emoji1666][emoji1666][emoji1666]
Na wasiwasi na elimu yako hio point nmb 2 umetuingiza chaka mzee hicho chakula cha kuwalisha kinatokana na mioango yako ipoje labda unahitaji kuzalisha samaki wa jinsia moja hivo utawalisha ili kuwabadili sex kwaio bicho chkl ni maalumu kwa ajili ya kuchange sex.
Kuhusu mbegu offcourse ni chache lkn unaweza kuzipata kwa wazalishaji wengine pia sio lazima uagize toka nje ya nchi.
Tumia wild seed
Kusema kwmb tilapia wa asili si watamu mbn sio kweli
Kuhusu chakula unaweza ukatengeneza chako pia sio lazima ununue
Nikiwa kama mtaalamu na mdau wa ufugaji samaki Naomba kuchagia kwa kujibu maswali yako kama ifuatavyoUkuaji wa uchumi wa nchi ni pamoja na matumizi ya teknolojia mbalimbali ili kuongeza uzalishaji na kuinua uchumi wa nchi na maendeleo kwa ujumla.
Katika Sekta ya uvuvi, kilimo cha samaki kimekuwa kikihimizwa kila leo kwa lengo la kuongeza uzalishaji ili kuendana na mahitaji ya soko.
Kwa Tanzania nimekuwa nikiona mabwawa yakichimbwa kwa ajili ya ufugaji samaki.
Lakini kumbe si mabwawa tu, pia fish cages zinaweza kutandikwa ziwani na uzalishaji wa samaki ukaendelea.
Kilichonifanya niandike hapa:-
i) Mbegu ngeni inayoletwa (Spp. ngeni)
Ufugaji huu unahusisha mbegu ngeni kutoka nchi za wenzetu (Tilapia spp) na inasemekana mbegu ngeni ni tamu ukilinganisha na hii ya kwetu ya asili.
Je, uwepo wa mbegu hii ngeni haiwezi kuitawala Spp. tuliyonayo, na mwisho wa siku tukapoteza kabisa ile ya kwetu?
ii) Aina ya chakula
Chakula kinachotumika kuwalisha hawa samaki inasemekana kina kemikali ambazo baadaye huwaathiri samaki majike na kugeuka kuwa madume.
Je, endapo hiyo kemikali itaathiri samaki wa asili na kukumbwa na mabadiliko hayo,kuzaliana kwa samaki wa asili kutaendelea kuwa sawa?
iii) Uvuvi haramu
Serikali yetu imekuwa ikipiga vita juu ya uvuvi haramu, je, huu uwekezaji hatuwezi kuuterm katika uvuvi haramu?
Wataalamu wa masuala ya uvuvi na kilimo cha samaki, naombeni elimu kuhusu hili.
[emoji1666][emoji1666][emoji1666][emoji1666]
Uzi kama huu hutoona wachangiaji wengi kwa sababu Mitanzania mingi akili zao wanazijua wenyewe.. mambo ya kipumbavu na umbea umbea utawaona mpaka wanaitana.
Nirudi ktk mada.
Binafsi nafuga Tilapia.. kwa njia ya kienyeji yaani bwawa la ukubwa wa 15x30.. kuna changamoto niliipata ktk ufugaji huu, hivyo natamani sana kuongeza maarifa, pia swala la mbegu ni jambo la muhimu sana, mie nilijikuta nina mbegu zaidi ya 4/5 za tilapia.
Kuanzia wale plain, wenye rangi nyekundu, wenye madoadoa, black etc.. pia ukuaji ukawa una variation.. jambo jingine ni chakula.. nilikuwa naandaa mwenyewe ila kuna namna ya kutengenez chakula kulingana na umri na size yao so haya yote yanahitaj elimu na exposure ya wafugaj wengine wanafanyaje..
Mkuu wewe unafuga or?
Uwa unafanya sampling kujilizisha kama idadi uliyoweka na iliyopo sasa hv ni sawa?Mie kwa sasa nawafuga pamoja na Tilapia.. na nashangaa kuna utulivu wa hali ya juu.. ingawa wanasema Catfish anakula Tilapia.
Hapana amna utofauti kujenga au kutokujengea inatokana na ardhi kama ardhi yako inauwezo mzuri wa kutunza maji amna haja ya kujengea, kujenga concrete pond ni kunafanyika kwenye maeneo ambapo ardhi yake haina uwezo wa kutunza maji lakini matokeo ni hayo kama kila kitu kiko constantNaomba kujua kuna wale tilapia ambao hawazaliani. unachukua mbegu unaweka bwawani kwako wakifikia uzito unaotakiwa unawavua, unasafisha bwawa unaweka vifaranga vipya. sasa kwa aina hii kwenye bwawa la zege na bwawa la kawaida kuna utofauti wa ukuaji? Given huduma za chakula, aeration na kubadili maji iko constant
Asante kwa elimu na ufafanuzi mzuri mkuu🤝🤝.Nikiwa kama mtaalamu na mdau wa ufugaji samaki Naomba kuchagia kwa kujibu maswali yako kama ifuatavyo
i) upandikizwaji ya samaki wasiokuwa wa asili - ni sahihi kabisa hii inawaza kusababisha biological pollution kama samaki watachanganyikana na samaki wa asili kuna uwezekana mkubwa wa kuzalisha species mpya kabisa na kama samaki hao ni carnivorous kuna hatari ya samaki hao kuwala samaki wa asili.
ii) Matumizi wa hormone - kwenye uzalishaji wa kuna husisha matumizi ya hormone 17-alpha methyltestorone kwa ajili ya kufanya sex reversal kuzalisha samaki wenye sifa za kiume ili kupunguza kuzaliana na kufanya samaki wakue haraka
Matumizi ya hii hormone hayana madhara yoyote kwa mtumiaja na hata kwa samaki wa asili sababu uwekwa kwa kiwango kidogo sana na Huish nguvu mapema kabla ya kumfikia mlaji wa mwisho
Kwa samaki wa asili amna madhara kwa sababu matumizi ya hormone ufanyika hatchery kwa ungalizi maalumu hadi pale vifaranga vinapomaliza dose ndio upelekwa kwenye bwawa au cage
Kwa sasa hatutumii tena hormone kuzalisha samaki wenye sifa za kiume, tunatumia njia inayofaamika kama YY. Kwenye hii njia tunatumia samaki madume (super male) ambao wakizaliana na majike vifaranga vyote vitakavyozaliwa vinakuwa madume tu
Naomba kuwasilisha
Huoni kwamba magonjwa yana weza kuathiri samaki ambao hawako kwenye hizo cage kutokana na chakula wanaolishwa samaki wakwenye cage?Samaki wanaofugwa kwenye cage system hawawezi kuwa wanavuliwa kiharamu maana wale wanafugwa hawavuliwi kutoka katika mazingira yao ya asili. hivyo huwa wanavunwa kama wanavyovuna mazao mengine waliyopanda na hapo ni baada ya kufikisha umri sahihi na uzito sahihi kwa ajili ya kuvunwa.
Mambo unafuga wapi nije kuona.Uzi kama huu hutoona wachangiaji wengi kwa sababu Mitanzania mingi akili zao wanazijua wenyewe.. mambo ya kipumbavu na umbea umbea utawaona mpaka wanaitana.
Nirudi ktk mada.
Binafsi nafuga Tilapia.. kwa njia ya kienyeji yaani bwawa la ukubwa wa 15x30.. kuna changamoto niliipata ktk ufugaji huu, hivyo natamani sana kuongeza maarifa, pia swala la mbegu ni jambo la muhimu sana, mie nilijikuta nina mbegu zaidi ya 4/5 za tilapia.
Kuanzia wale plain, wenye rangi nyekundu, wenye madoadoa, black etc.. pia ukuaji ukawa una variation.. jambo jingine ni chakula.. nilikuwa naandaa mwenyewe ila kuna namna ya kutengenez chakula kulingana na umri na size yao so haya yote yanahitaj elimu na exposure ya wafugaj wengine wanafanyaje..
Mkuu wewe unafuga or?
Mi nachangia kidogo hapo kwenye point ya Pili.Ulishaji WA chakula Chenye hormone unafanyika wiki ya pili baada ya vifaranga kuanguliwa,nadhani tuna assume mpaka muda wa kuvuna samaki miezi kadhaa mbele effect hazitakwepo.Ukuaji wa uchumi wa nchi ni pamoja na matumizi ya teknolojia mbalimbali ili kuongeza uzalishaji na kuinua uchumi wa nchi na maendeleo kwa ujumla.
Katika Sekta ya uvuvi, kilimo cha samaki kimekuwa kikihimizwa kila leo kwa lengo la kuongeza uzalishaji ili kuendana na mahitaji ya soko.
Kwa Tanzania nimekuwa nikiona mabwawa yakichimbwa kwa ajili ya ufugaji samaki.
Lakini kumbe si mabwawa tu, pia fish cages zinaweza kutandikwa ziwani na uzalishaji wa samaki ukaendelea.
Kilichonifanya niandike hapa:-
i) Mbegu ngeni inayoletwa (Spp. ngeni)
Ufugaji huu unahusisha mbegu ngeni kutoka nchi za wenzetu (Tilapia spp) na inasemekana mbegu ngeni ni tamu ukilinganisha na hii ya kwetu ya asili.
Je, uwepo wa mbegu hii ngeni haiwezi kuitawala Spp. tuliyonayo, na mwisho wa siku tukapoteza kabisa ile ya kwetu?
ii) Aina ya chakula
Chakula kinachotumika kuwalisha hawa samaki inasemekana kina kemikali ambazo baadaye huwaathiri samaki majike na kugeuka kuwa madume.
Je, endapo hiyo kemikali itaathiri samaki wa asili na kukumbwa na mabadiliko hayo,kuzaliana kwa samaki wa asili kutaendelea kuwa sawa?
iii) Uvuvi haramu
Serikali yetu imekuwa ikipiga vita juu ya uvuvi haramu, je, huu uwekezaji hatuwezi kuuterm katika uvuvi haramu?
Wataalamu wa masuala ya uvuvi na kilimo cha samaki, naombeni elimu kuhusu hili.
[emoji1666][emoji1666][emoji1666][emoji1666]