Pastor Silla
Senior Member
- Sep 22, 2020
- 162
- 166
Hata wakati yapo kwenye meli kutoka Japan kuna midereva huwa inaendelea kupiga stata tuMKUU ZAMANI MTU ALIKUWA ANA UHAKIKA WA KUPATA GARI MPYAAAAA
KWA SASA GARI ZENYEWE ZIMETEMBEA KM KIBAO TU UNATAKA TUNUNUE BILA YA KUIJARIBU KWELI???
La sivyo akubali kushtakiwaHahaaa kwamba ni lazima uto.mbw
Badala ya kumshtaki kwanini usitafute njia ya kumsaidia??La sivyo akubali kushtakiwa
MfanoBadala ya kumshtaki kwanini usitafute njia ya kumsaidia??
Kwamfano nikawepo hata mimi pembeni nikawa nakushughulikia kila ukitaka, wakati ambao mtakuwa mnasubiri ndoa.Mfano
Wakati huo hutaki kuoa ila kunishughulikiaKwamfano nikawepo hata mimi pembeni nikawa nakushughulikia kila ukitaka, wakati ambao mtakuwa mnasubiri ndoa.
Wakukuoa si anakuwepo ambae ndo huyo jamaa ambae hataki kukushughulikia mpaka muoane?? Kwahiyo kwakua hauwezi kusubiri bila 🍆, mimi sasa ndo inakuwa kazi yangu hiyo ili usimsumbue jamaa.Wakati huo hutaki kuoa ila kunishughulikia
Mbona Wakatoliki ndio wanaongoza kufanya tendo kabla ya ndoa?Hao Wakatoliki wa eneo gani?Inawezekana kwa mambo yafuatayo:
1. mazingira uliyokulia mfano nchi za uarabuni huko hakuna ngono zembe;
2. imani yako kwa Mungu (ukiwa mkatoliki safi unajikuta tu hauja fanya uasherati mpaka unaoa);
3. ukifungwa ukiwa kijana kabla haujafanya uasherati utajikuta uko tu gerezani unakomaa tu na nyege zako; na
4. ukiwa domo zege kazi yako ni kupiga chaputa tu mpaka ndoa.