Pastor Silla
Senior Member
- Sep 22, 2020
- 162
- 166
Mimi ni kati ya wadau niliyeoa ndipo nikashirikiana na mke wangu. Na hii yote iliwezekana na kuwa na mahusiano na Mungu aliyenipa ujasiri wakujitunza na kuoa then kushiriki tendo la ndoa.
Swali:
Wanadamu wanakwama wapi kwa Sasa maana tukiweka pembeni wokovu nilionao wazee wetu zamani hawafanyi tendo mpaka waoane na walikuwa wanaoana wote mabikira mke bikira na mme bikira.
Karibuni...
Swali:
Wanadamu wanakwama wapi kwa Sasa maana tukiweka pembeni wokovu nilionao wazee wetu zamani hawafanyi tendo mpaka waoane na walikuwa wanaoana wote mabikira mke bikira na mme bikira.
Karibuni...