Saint_Mwakyoma
JF-Expert Member
- Jun 8, 2019
- 865
- 1,208
Inawezekana ila mpka binti akaguliwe kama anabikra ila kama bikra hana hapo lazima aonjwe tu , hakuna la kufanya zaidi ya hapoMimi ni kati ya wadau niliyeoa ndipo nikashirikiana na mke wangu. Na hii yote iliwezekana na kuwa na mahusiano na Mungu aliyenipa ujasiri wakujitunza na kuoa then kushiriki tendo la ndoa.
Swali:
Wanadamu wanakwama wapi kwa Sasa maana tukiweka pembeni wokovu nilionao wazee wetu zamani hawafanyi tendo mpaka waoane na walikuwa wanaoana wote mabikira mke bikira na mme bikira.
Karibuni...
Weka picha tuone...Kwann nisinyanduliwe kabla ya ndoa wakati nikiingia nitanyanduliwa pia
Ha haaa,ya mnyanduo?Weka picha tuone...
Ndiyo...Ha haaa,ya mnyanduo?
MkorofiNdiyo...
Tunamtumikia Mungu kwa wanadamu wake na hatumiki Mbinguni na hapa tunatoa mafundisho juu ya kushinda dhambi ya uzinzi.AsanteNyie mapastor kazi zenu ni kumtumikia Mungu, hizi mambo za kidunia nakushauri achana nazo maana zinaweza kukuchelewesha kuuona ufalme wa mbinguni.
Hivi Ni mkweli mtu akiwa Mkatoliki Safi anashinda dhambi ya uzinzi?yupi Ni Mkatoliki mchafu?Inawezekana kwa mambo yafuatayo:
1. mazingira uliyokulia mfano nchi za uarabuni huko hakuna ngono zembe;
2. imani yako kwa Mungu (ukiwa mkatoliki safi unajikuta tu hauja fanya uasherati mpaka unaoa);
3. ukifungwa ukiwa kijana kabla haujafanya uasherati utajikuta uko tu gerezani unakomaa tu na nyege zako; na
4. ukiwa domo zege kazi yako ni kupiga chaputa tu mpaka ndoa.
Sasa mke wamtu nii sealed kiaje???Ungemuuliza mzee wako yeye alikuta sealed? nyakati zimebadilika we jamaa shtuka, watu hawataki kuuziwa mbuzi kwa gunia
Mtu akikunyima kikojoleo, ujue ana kasoro, ndomaana hajiamini, anadhani ukiijua hiyo kasoro utamuacha.Huo upuuzi siwez kufanya
Na kamwe siwez mshaur mtu yeyote aufanye, iwe ni wakike au wakiume.
Majuto yake Ni makubwa mno,
Bora kutest mitambo ujue yaliyomo yamo au umepigwa kitu kizito.
Na hata pia maagizo ya mungu yanatuasa kabisa,
Tutafute wa kufanana nasi, ukikaidi agizo la mungu shauri zako yakikukuta.[emoji4]
Siyo picha, aweke video kabisaWeka picha tuone...
Na atakupa ukikuta kasoro unabaki nae...Mtu akikunyima kikojoleo, ujue ana kasoro, ndomaana hajiamini, anadhani ukiijua hiyo kasoro utamuacha.