Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
Jana nilitoka out bwana nikiwa out basi wakaja akina mama wamejitoa out wana vikoba (nadhani pesa ilikuwa imepatikana wakaamua kujirusha) katika kuongea ongea kwao mara umeme ukazima
Mama mmoja wa kwenye hicho kikundi bwana acha alalamike;
Mama mmoja: Yaani huu umeme wa TANESCO umeniboa sana juzi usiku
Wana vikoba: Kwanini?
Mama mmoja: Mimi na mume wangu uwaga hatuzimi taa, sasa jana tuko bize mara umeme huooo ukakatika, stimu ikashuka, tukajaribu kununua umeme kwa simu ukakataa basi na shoo ikaisha. Mpaka sahivi nipo na maupwiru hata kazini sijaenda nimenunaje?
Swali:
Je, tendo la ndoa haliwezi fanyika mpaka umeme uwake?
Mama mmoja wa kwenye hicho kikundi bwana acha alalamike;
Mama mmoja: Yaani huu umeme wa TANESCO umeniboa sana juzi usiku
Wana vikoba: Kwanini?
Mama mmoja: Mimi na mume wangu uwaga hatuzimi taa, sasa jana tuko bize mara umeme huooo ukakatika, stimu ikashuka, tukajaribu kununua umeme kwa simu ukakataa basi na shoo ikaisha. Mpaka sahivi nipo na maupwiru hata kazini sijaenda nimenunaje?
Swali:
Je, tendo la ndoa haliwezi fanyika mpaka umeme uwake?